nipe nikupe
Member
- Mar 13, 2014
- 21
- 5
Kama kuna dada anaona yupo mpweke na anahitaji kampani ya ukweli this weekend, plz pm, mimi niko dar.
kapime kwanza ngoma copy uiweke hapa, maana user name yako ina utata isiye kuwe akupe penzi umpe UKIMWI.au unaonaje kama uanahitaji sana wadada si unge oa mmoja awe ana kupa kampani na kumega kama roho yako itakavyo.
Atakayetaka atakutana na copy hyo na kama atakuwa na wasiwasi, tunatinga hospital of her choice.
loh kaka mbona umekomaa sana au unataka wa kumtoa kafara?
Wala sio uzinzi kwani walioweka hili jukwaa hawajui umuhimu wake? Heshimu maamuzi yangu watu8
Kwa hiyo hili unalolifanya unalipa jina gani?
Walioweka jukwaa hili wameandika hivi:
Forum: Love ConnectUnatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mi mchumba wangu kapoteaa nisaidie kumpataa! !!!
Kwa hiyo hili unalolifanya unalipa jina gani?
Walioweka jukwaa hili wameandika hivi katika homepage ya Love Connect:
Forum: Love Connect
Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Thread yako sioni kama inakidhi matakwa hayo
Nenda kituo cha polisi kilicho karibu nawe...
Ok nimekuelewa ila nitakayekutana naye anaweza kuwa mchumba
Mi mchumba wangu kapoteaa nisaidie kumpataa! !!!
Jiamini mwanaume,wanawake hata hapo ulipo wapo,acha udomo zege.
Ndivo ulivokaririshwa nn mkuu. Si kila mwenye gari jipya ni learner.
Ok endelea kutafuta wasichana usiowajua uje ukutane na wenye kwato.
Mi mchumba wangu kapoteaa nisaidie kumpataa! !!!