john_selcius
Member
- Jul 3, 2012
- 15
- 3
Wakubwa zangu, nawasalimuni nyoote.
Naomba yeyote wa kunisaidia, Dada yangu amesomea ADO (TFDA), na anatamani kufanya kazi Dar ya kuuza dawa katika Duka la Madawa. Anauzoefu wa miaka miwili ya kazi hiyo na hata sasa yuko katika ajira hiyo mkoani.
Tafadhali, naomba mnisaidie.
Mwanajamvi
Naomba yeyote wa kunisaidia, Dada yangu amesomea ADO (TFDA), na anatamani kufanya kazi Dar ya kuuza dawa katika Duka la Madawa. Anauzoefu wa miaka miwili ya kazi hiyo na hata sasa yuko katika ajira hiyo mkoani.
Tafadhali, naomba mnisaidie.
Mwanajamvi