Akwangajika
Member
- Mar 15, 2013
- 30
- 30
Daaaah n kitambo kirefu jaman up to now m naishia kuangalia tu da way watu wakiwa na manzi zao wakienjoy maisha but m nipo alone jaman nifanyeje even 2 me i want jaman
umri wangu n twenty 3 aise kasoro hakunaga kwangu xema da way mwonekana wa mwanamke kwangu ndo kasoroUna umri gani...Halafu chunguza labda una kasoro
hapana kuchagua sichagui na mambo ya kin mangi cnaga mbonaUtakua unachagua sana au bahili
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
hahahahaha darasa tena aiseLabda mwandiko wako unakuponza. Unasoma darasa la ngapi?
ok wacha nkomaeBado mdogo, ukikua utaweza. haya mambo huja naturally.