Kupuuzia Dressing Code katika public ndio inayopelekea watu wapendekeze serikali za kidini, nakumbuka hata enzi za mwalimu kulikuwa na kauli mbiu kukataza nguo zisizo za heshima na hasa katika maeneo ya public.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.