Jamanii wazee wetu tupunguzie mahali vijana tunataka kuoa,sasa mzee unaponiambia mahali Milion 2.5 si sawa na kuniuzia mwanao huku atakula nini? Au ndio kunikomoa
Haohao wazee wenyee bib zetu waliwavuta tu mikono mahali kindama kimoja na mkuki ambavyo kwa gharama ya leo havizidi laki afu leo wanakomaa kweli, ukijifanya kufwata protocol mtaji wote wa maisha utaishia kutoa mahari
Jamanii wazee wetu tupunguzie mahali vijana tunataka kuoa,sasa mzee unaponiambia mahali Milion 2.5 si sawa na kuniuzia mwanao huku atakula nini? Au ndio kunikomoa
Jamanii wazee wetu tupunguzie mahali vijana tunataka kuoa,sasa mzee unaponiambia mahali Milion 2.5 si sawa na kuniuzia mwanao huku atakula nini? Au ndio kunikomoa