Daaah! yaaaani ni shidaaaaaaaaaaaaa!

Daaah! yaaaani ni shidaaaaaaaaaaaaa!

Khaleed Shaban

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
399
Reaction score
58
Skia hii,kuna jamaa alikua kipofu ndugu zake wakampeleka india ili afanyiwe opareshen na aweze kuona kama kawaida
alipofika hospitali kufanyiwa oparesheni madokta wakambadilisha macho na kumuwekea ya paka,mda mfupi baada ya opareshen dokta akamuulize mgonjwa "hapo vp unaona vizuri?"
mgonjwa akasema"ndio, lakini naona panya tu!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom