Leo kuna baadhi ya magazeti ya memripoti daimond kuwa ana mganga wa mapenzi hapana naweza kulikataa swala zima la kusema kuwa diamondi anadawa ya mapenzi bali baadhi ya watu wamenukuu vibaya baadhi ya hawa madada wamekuwa wakimfuata diamondi kwa sababu ya umaarufu na yeye mwenyewe kupenda kutembea na masuper star wenzake naomba mnisadie diamondi ana mapenzi ya kweli kwa hawa wakina dada
:A S-baby::A S-baby::wacko::wacko::wacko::wacko::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::yawn::wacko:
Naunga mkono hoja! Na wanawake wanaompapatikia yaani sijui nawaonaje tu......mwanamme kutwa kucha kuruka tu na kudhalilisha wenzie khaaa!! Au ndo mauzo hadi kwenye mapenzi??
Naunga mkono hoja! Na wanawake wanaompapatikia yaani sijui nawaonaje tu......mwanamme kutwa kucha kuruka tu na kudhalilisha wenzie khaaa!! Au ndo mauzo hadi kwenye mapenzi??
hii topic ipelekwe kule kwenye celebrities forum...wanaopenda masupa stars watachangia...hapa tunaongelea mapenzi na mahusiano ya jamii sio kwa hao waliojua hela na umaarufu ukubwani:A S 13:
Hahahhaaaa mie usingizi umekata toka saa saba, madhara ya kulala maprma haya. Nimetoka job, nikala na kuoga saa moja nimepanda kitandani. Nimeshtuka saa sita-saba hivi mpaka sasa usingizi umegoma aaaarrrrgghhhhh Judgement
Hahahhaaaa mie usingizi umekata toka saa saba, madhara ya kulala maprma haya. Nimetoka job, nikala na kuoga saa moja nimepanda kitandani. Nimeshtuka saa sita-saba hivi mpaka sasa usingizi umegoma aaaarrrrgghhhhh Judgement