D.Trump kapatikana!

D.Trump kapatikana!

Wamekuwa profiled. Enforcing the law by racial profiling is problematic!

mbona unakuja na kingeeraza kiingi? swali ni rahisi tu je, wamessingiziwa? hilo swali wala halina majibu mengi na marefu, lina jibu la ndiyo au hapana ...
 
mbona unakuja na kingeeraza kiingi? swali ni rahisi tu je, wamessingiziwa? hilo swali wala halina majibu mengi na marefu, lina jibu la ndiyo au hapana ...
Bila kuelewa context, swali la ndiyo au hapana ni meaningless!
 
Bila kuelewa context, swali la ndiyo au hapana ni meaningless!

nini kigumu hapo? kama hauna jibu la ndiyo au hapana basi basi jibu ni kwamba hawajasingiziwa na wamehusika, na ni skandali kubwa billions of US dollars btw wanaenda kudepotiwa mmoja baada ya mwingine ...
 
nini kigumu hapo? kama hauna jibu la ndiyo au hapana basi basi jibu ni kwamba hawajasingiziwa na wamehusika, na ni skandali kubwa billions of US dollars btw wanaenda kudepotiwa mmoja baada ya mwingine ...
Sio kila mtu ni deportable!
 
Back
Top Bottom