Umetaja wireless D-LINK, inaonesha tayari umeshaamua kuweka hiyo. Wireless AP/Router zipo aina kibao, wireless (a),(b) ambazo outdated,(g) up to 54mb/s and (N) upto 300mb/s. D-link hata mimi naitumia sina matatizo nayo.
Ushauri: inategemea hizo office unazotaka ku-share nao internet zipo umbali gani same building? kama kuna kuta (walls) between your office na hizo office zingine basi tumia wireless N, speed kubwa na inakwenda mbali zaidi ya (g) na ni "future proof" pia ni compatible na (a)/(b)/(g) na N yenyewe. Kuhusu bei subiri walio maeneo yako watakupa ushauri. Maelezo mengine ingia kwenye website ya d-link, pia unaweza kuangalia Netgear, Belkin etc.