Cyprian Musiba mtuhumiwa namba moja

Cyprian Musiba mtuhumiwa namba moja

mangikule

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
6,464
Reaction score
6,011
WanaJF
Hili nimelifikiria muda mrefu sana na kwa ushahidi wa maneno na mazingira kuwa

1. Cyprian Musiba ni mtekaji aidha anahusika na utekaji wa watekaji wa wote au baadhi ya waliotekwa.

2. Cyprian ametamba mara nyingi kuwa ni mwanaharakati wa kujitegemea na anamtetea JPM. Kuwa wote wanaompinga JPM ni maadui wake na wa nchi

3. Cyprian Musiba ametumia vyombo vyake kuchafua bila huruma wote anaowahisi kuwa wanampinga JPM.

4. Cyprian Musiba hadi sasa ameshawachafua watu maarufu wote ambao wanatishia umaarufu wa JPM. Mifano ni Membe, Makamba, Lowasa, Bulemba, Kinana. wengine ni Mbowe Zito, Lema, Msigwa, Lissu. na wengine

5. Cyprian Musiba hajakemewa na yeyote pamoja na viashiria vyote vya kuvunja katiba na amani.

6. Cyprian Musiba amejipambanua zaidi juzi alipoahidi kumtia ulemavu au kifo yeyote anayempinga JPM.
Mimi ninatamka kuwa huyu ni mtekaji au anawajua watekaji wanaojiita wasiojulikana.

7. Cyprian Musiba anawajibika kuwajibu watanzania na ndugu za waathirika waliko wapendwa wao:
--Ben Saanane
--Azory Gwanda
-- Simon Kanguye

Ninawataka waathirika wamdai wapendwa wao huyu cyprian Musiba.

Ninawataka waathirika wamdai Cyprian Musiba maisha ya waliotekwa wakauawa na wasiojulikana.

Polisi wamekataa kumshughulikia Cyprian Musiba. Membe amempeleka mahakamani tungojee.

Huyu Musiba ni halali yetu jamani. Kama vyombo vya dola vimemshindwa kazi kwetu wananchi na haki yetu ya kujilinda!!
 
Musiba mwache atese kwa zamu jamani kila Enzi na zama zake.JK alikuwa na watu wake untachable( ingawa hawakuwa wajinga kama huyu) sasa huyu utafikiria mtoto walahi,ingekuwa ndugu yangu ningemkana kabisa kwani hana adabu saa nyingine bora Bashite akisemwa ananyamaza na kulia tunambebeleza
 
Back
Top Bottom