Cyber attack kwenye mifumo ya nuclear ya Israel

Cyber attack kwenye mifumo ya nuclear ya Israel

Iran hapo ni mikwara tu hizo, hamna lolote na ndio maana wako kwenye mazungumuzo na Marekani wangekuwa na hiyo nyuklia wasingekubali mazungumzo.
 
Endeleeni kubisha

— 🇮🇱/🇮🇷/🇺🇳 NEW: The head of the International Atomic Energy Agency, Rafael Grossi, confirms that Iran stole large amounts of nuclear secrets from Israel — likely from the 'Soreq Nuclear Research Facility'
 
Iran hapo ni mikwara tu hizo, hamna lolote na ndio maana wako kwenye mazungumuzo na Marekani wangekuwa na hiyo nyuklia wasingekubali mazungumzo.
Mikwara au mukwara
— 🇮🇱/🇮🇷/🇺🇳 NEW: The head of the International Atomic Energy Agency, Rafael Grossi, confirms that Iran stole large amounts of nuclear secrets from Israel — likely from the 'Soreq Nuclear Research Facility'
 
Ume
Kweli mkuu lkn Israel imekaaa kimya unajua kwann!!!

IRAN kaweka wazi atazianika nguo za ndani za Utawala wa Israel kwenye Media Iran inadai bado wanachambua chambua mtego upo apo!!


lkn ukweli si kuchambua ni mtego Kwa Israel wanasubiliwa wakane kuwepo ilo tukio !!!!

apo sasa Iran imwage kila kitu adhalani kuwaumbua!!!

Ndio mana Israel imekaaa kimya inapiga esabu cha kujibu lkn esabu zinakataa!!!!

Wameumbuka wajomba wa jako!!
Umetupiga kamba Kwamba Israel hazipojibu na Iran anakaa kimya ina maana gani sasa Iran kutwambia ayo mambo?
 
Televisheni ya taifa ya Iran ilitangaza kuwa chombo cha kijasusi cha Iran kimetoa pigo la kihistoria kwa Israel.

MOIS ilipata maelfu ya hati zinazohusiana na miradi na vifaa vya nyuklia vya Israeli.

Waziri wa Mambo ya Intelijesia wa Iran alithibitisha haya siku ya Jumapili ya tarehe 9 Juni 2025 kwamba Iran imepata taarifa nyingi kuhusu vifaa vya nyuklia vya Israel ambazo zitaongeza uwezo wa mashambulizi ya nchi hiyo.

Inataarifiwa kuwa raia kadhaa wa Israeli waliajiriwa kwa operesheni hii.
Mbona mambo ya kawaida mkuu au hukuona urusi juz alivyolambishwa mchanga
 
Televisheni ya taifa ya Iran ilitangaza kuwa chombo cha kijasusi cha Iran kimetoa pigo la kihistoria kwa Israel.

MOIS ilipata maelfu ya hati zinazohusiana na miradi na vifaa vya nyuklia vya Israeli.

Waziri wa Mambo ya Intelijesia wa Iran alithibitisha haya siku ya Jumapili ya tarehe 9 Juni 2025 kwamba Iran imepata taarifa nyingi kuhusu vifaa vya nyuklia vya Israel ambazo zitaongeza uwezo wa mashambulizi ya nchi hiyo.

Inataarifiwa kuwa raia kadhaa wa Israeli waliajiriwa kwa operesheni hii.
Hao raia wa Israel walioajiriwa na Iran watakuwa ni Waarabu!
 
Israel iliwakamata watu wake kadhaa wiki zilizopita wakiwemo wanajeshi wa idf kwa kuifanyia kazi iran
Hivi wale madabo ajent huwa wanafanyaje kazi zao?, Ujasiri wanatoa wapi au ni njaa zao tu!!? 🤭😂😂
 
Back
Top Bottom