Njoo im box utaiona mkuuuIngefaa kama ungeambatanisha na picha kabisa.
Kama ni hivyo ingependeza zaidi na hili Tangazo ungeliweka Inbox mkuu.Njoo im box utaiona mkuuu
Nimependa ulivyomjibu.Njoo im box utaiona mkuuu
Kama ni hivyo ingependeza zaidi na hili Tangazo ungeliweka Inbox mkuu.
Wacha ushamba wewe,weka picha Hapo na bei, atakaetaka maelewano ndio atakupigia, mbona hamjifunzi kunadi biashara zenu,au unadhani Facebook hapaInauzwa, ni mpya kabisa bei maelewano.
Piga 0620436634.
Kausha kama huna hela usiharibu sku yangu.Kama ni hivyo ingependeza zaidi na hili Tangazo ungeliweka Inbox mkuu.
We Jamaa hauko sawa kwenye mfumo wako wa baadhi ya mishipa ya fahamuKausha kama huna hela usiharibu sku yangu.
Kwanza wewe n likwepa kodi uko sawa sasa!! Unakwepaje kod kama uko sawa hahahaWe Jamaa hauko sawa kwenye mfumo wako wa baadhi ya mishipa ya fahamu
Kwa kauli hizi huwezi kupata wateja hapaKausha kama huna hela usiharibu sku yangu.
Kwanza wewe n likwepa kodi uko sawa sasa!! Unakwepaje kod kama uko sawa hahaha
Ngedere mwitu wee...wewe ndio Umekuja kuharibu siku za watu kwa upuuzi wako halafu unajidai kuleta ujuaji!Kausha kama huna hela usiharibu sku yangu.
Utafikiri muuza chupi za mitumba huko tandahimba. Kauli chafuuuu, sijui hiyo simu itakuwa kwenye hali gani!?Kwa kauli hizi huwezi kupata wateja hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Labda ni simu ya wizi,anaogopa akiweka hapa picha yake mwenye nayo anaweza akaionaUtafikiri muuza chupi za mitumba huko tandahimba. Kauli chafuuuu, sijui hiyo simu itakuwa kwenye hali gani!?
We ni mjingaKausha kama huna hela usiharibu sku yangu.
Huenda.Atakuwa tapeli huyo