Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Nyie ni chombo chetu,tukumbushieni kwenye serikali haya ya fuatayo
.Gharama za maisha zimepanda kwa ujumla wake.
.Walimu tulioka vijijini tunaishi katika mazingira ambayo hayana umeme,huduma za maji ni za hali ya chini,afya duni n.k
.Pia,mazingira yakufanyia kazi mashuleni kwetu ni duni mno.
Kwahiyo,kutokana na hayo na mengineyo,
-serikali haina budi kuongeza au kuboresha maslahi ya walimu/watumishi,ili waweze kukabiliana na mazingira ambayo ni magumu.
.Gharama za maisha zimepanda kwa ujumla wake.
.Walimu tulioka vijijini tunaishi katika mazingira ambayo hayana umeme,huduma za maji ni za hali ya chini,afya duni n.k
.Pia,mazingira yakufanyia kazi mashuleni kwetu ni duni mno.
Kwahiyo,kutokana na hayo na mengineyo,
-serikali haina budi kuongeza au kuboresha maslahi ya walimu/watumishi,ili waweze kukabiliana na mazingira ambayo ni magumu.