new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 814
- 1,629
Wadau nahitaji kupata msaada wa fundi mzuri wa CVT gear box..nipo dsm, kigamboni, namba yangu (0719058458) nina vitz new modal yenye injini 2SZ-FE, yenye CVT gear box, ( gear selector ina P, R, N, D, B) sasa hii gari nimepatwa na tabu kwenye transmission system, na limeanza baada ya kubadili transmission fluid.
Gari inatumia transmission fluid aina ya CVT-TC, wakat wa kufanya service nilikuta fundi kaisha fanya kazi kamaliza nkaja kulichukua na kuondoka, nimetembea km 1600 nkaanza kuona gafla gari inakua inishiwa nguvu, unashangaa injini inaunguluma kwa nguvu ila mwendo mdogo na gia zinashndwa kupanda kwenda 3, mpaka 4, au inaishia gia numba 1, ila ukiweka reverse gari inarudi nyuma poa, ila mbele majanga.
Katika kutafuta tatizo, nkagundua fundi aliweka ATF transmission fluid badala ya CVT-TC, ndo nkabidi ni flush oil yote ya gia box.. Fungua sampl, toa filter pamoja na chesi, vyote vikasafishwa. Ila baada ya kuflush nkaweka fluid original ya gari (cvt-tc) but maajabu bado gari imeendelea na ugonjwa uleule wa kushindwa kushift gear smoothly and with power. Wadau kuna anaweza nipa way foward?
Nitafutahi kupata solution.
Gari inatumia transmission fluid aina ya CVT-TC, wakat wa kufanya service nilikuta fundi kaisha fanya kazi kamaliza nkaja kulichukua na kuondoka, nimetembea km 1600 nkaanza kuona gafla gari inakua inishiwa nguvu, unashangaa injini inaunguluma kwa nguvu ila mwendo mdogo na gia zinashndwa kupanda kwenda 3, mpaka 4, au inaishia gia numba 1, ila ukiweka reverse gari inarudi nyuma poa, ila mbele majanga.
Katika kutafuta tatizo, nkagundua fundi aliweka ATF transmission fluid badala ya CVT-TC, ndo nkabidi ni flush oil yote ya gia box.. Fungua sampl, toa filter pamoja na chesi, vyote vikasafishwa. Ila baada ya kuflush nkaweka fluid original ya gari (cvt-tc) but maajabu bado gari imeendelea na ugonjwa uleule wa kushindwa kushift gear smoothly and with power. Wadau kuna anaweza nipa way foward?
Nitafutahi kupata solution.