mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Katika awamu ya nne nchi inaendeshwa kwa Kihiyo-style ndo maana huoni serikali
nyie wapumbav sana, tuchukulie angekuwa muislam je mngesema nini? huyu kihiyo mtu wenu, malizeni kila kitu.
Katika awamu ya nne nchi inaendeshwa kwa Kihiyo-style ndo maana huoni serikali
nyie wapumbav sana, tuchukulie angekuwa muislam je mngesema nini? huyu kihiyo mtu wenu, malizeni kila kitu.
Wadau naomba tuiangalie CV ya huyu Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi tuone kama ina kidhi majukumu mazito :
First Name: Philipo
Middle Name: Augustino
Last Name: Mulugo
Member Type: Constituency Member
Constituent: Songwe
EDUCATION
Open University of Tanzania BA (Economics Education ) 2002 2008 GRADUATE
CERTIFICATIONS
Degree miaka 6
Ya medicine hiyo
Tanzania is formed in one nineteen sixty four. Du kweli kihiyo hata kutaja tarakimu hajui hao wanafunzi alikua anawafundisha nini sasa?Hapa mie sijaona tatizo. Mi nilijua labda ana certificate kama ya Makamba. Elimu yake ni nzuri na inatosha. Pia CV yake nzuri tofauti na Masele ambaye hana uzoefu wowote wa uongozi lakini mkuu kampa unaibu waziri wa madini
ngalau ya darasa la saba -sic
Elimu ya kumfanya ajiamini kuweza kutuwakilisha
Elimu ya kutambua Zimbabwe siyo kisiwa
Elimu ya kutosha kujua kuwa Bahari ya Hindi siyo nchi ( Kumbukeni alisema TZ imepakana na nchi 8 ikiwemo bahari ya hindi)
Elimu ya kumwezesha kuomba radhi kwa kufanya makosa na siyo kuongeza kosa kwa kujitetea kitoto.
Anatosheleza kitu gani? Kwanza waliosoma naye wanasema alipokuwa Songea boys alitowekatoweka tu na kuibukia kwenye shule hiyo alikopewa nafasi kama adm Officer. Shule hiyo ilikuwa inaendeshwa na Wazungu na walipoondoka nchini dada zake Mulugo ambao ni masista waliachiwa kuiongoza ndipo walipomuita kaka yao. Baada ya hapo kaibukia kwenye siasa.
Swali la msingi hapa kusoma si tija ila je alifaulu vizuri? kuongoza Wizara nyeti kama ya elimu inahitaji weredi wa kutosha, je anatosha? maana alipokuwa akifundisha ktk shule hiyo aliwahi kutimuliwa na wakaguzi (kama anavyofanya yeye kwa wenzie sasa hivi)kwa kukosa sifa na vigezo.
Hivi hata kama mtu amekuandikia speech unaisoma kama ilivyo bila kuipitia na kuona ipo sawa? huenda aliipitia na kwa kuwa uwezo wake mdogo hakugundua makosa. kwa kuwa uwaziri is a political post kila mtu anaweza kuongoza? tuondolee utumbo hapa! ndio maana elimu imshuka hivi TZ kwa mizaha ya kipumbavu kama hiyo! kuna wasomi wangapi tz wanaoweza kuongoza wizara hiyo>? kila kitu siasa...siasa....siasa.....****!
"....Zimbabwe and Pemba..."
Wadau naomba tuiangalie CV ya huyu Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi tuone kama ina kidhi majukumu mazito :
First Name: Philipo
Middle Name: Augustino
Last Name: Mulugo
Member Type: Constituency Member
Constituent: Songwe
EDUCATION
Rukwa Primary School, Chunga Primary Education 1982 1989 PRIMARY
Mbeya Secondary School O-Level Education 1990 1993 SECONDARY
Songea Boys' High School A-Level Education 1994 1996 HIGH SCHOOL
Open University of Tanzania BA (Economics Education ) 2002 2008 GRADUATE
CERTIFICATIONS
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Songwe Constituency 2010 2015
Southern Highland Secondary School School Managing Director 2008 2010
Southern Highland Secondary School Administrative & Personnel Officer 2005 2010
Southern Highland Secondary School Teacher 2000 2004
POLITICAL
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National Executive Committee 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Secretary General - Mbeya Region (Parents) 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - Chunya District Political Committee 2007
Duh nafikiri tatizo ni anayewateua. Aibu.
Hii kweli ni aibu ya taifa.
Raisi kilaza mawaziri ndio usiseme, wamechaguliwa tu kwa kujuana na sio kwa uwezo wao. When will Kikwete leave the presidency? Angalia hii video uone kama hutatokwa na machozi.
- Tuko mwaka 2012 na sio 1961 halafu mtu mwenye uwezo dhaifu kama huyu anapewa kuongoza wizara muhimu kama ya elimu.
- Anashindwa hata kufanya presentation ambayo sio ajabu kasaidiwa kuitengeneza na ndio maana kaichanganya Zanzibar na Zimbabwe.
- Hivi Kikwete hii aibu kubwa kwa taifa yeye haioni na hajui kuwa wenzetu wanatucheka?
http://youtu.be/e3BNegmIUKM
<span style="color: rgb(0, 0, 128); font-size: medium; ">[video=youtube_share;e3BNegmIUKM]http://youtu.be/e3BNegmIUKM[/video]
............. Pamoja na yote Mheshimiwa huyu anazifahamu mbinu nyingi zinazofanywa na shule za sekondari ikiwemo uzembe na ujanja ujanja kwa maana hiyo amejitahidi kupambana nazo kwa kuwa alikuwa huko..............
Kweli wewe ni Babu na akili yako imezeeka:-Unarusha mawe wakati upo kwenye nyumba ya vioo! Kama ulianza darasa la kwanza 1982 unatakiwa kumaliza darasa la saba mwaka gani?
Wewe ni Pilau na kwa kweli pilau la Eid limekufanya uvimbiwe. BTW: Ukiona mtu ana maneno mengi sana, kila siku yuko kwenye TV utadhani yeye ndio Waziri wakati Boss wake yeye anatokea mara chache tena kwenye issues za msingi, basi ujue shule yake ni ndogo. Any politician who is provocative is intellectually retarded! Angalia Tambwe Hiza, Anna Kilango, Captain Komba, Lukuvi, Makamba Sr, M.k.w.e.r.e na majuha wengine wengi tuliowakabidhi maisha yetu utaona viwango vyao kielimu vilivyo na utata! Always greatest minds act in silence.............. Pamoja na yote Mheshimiwa huyu anazifahamu mbinu nyingi zinazofanywa na shule za sekondari ikiwemo uzembe na ujanja ujanja kwa maana hiyo amejitahidi kupambana nazo kwa kuwa alikuwa huko..............
Swala la dini hapa limetoka wapi tena? Hata kama ni Mkristo, kwani alijiteua? Si ni M.k.w.e.r.e wenu huyo Muislam kihiyo?Katika awamu ya nne nchi inaendeshwa kwa Kihiyo-style ndo maana huoni serikali
nyie wapumbav sana, tuchukulie angekuwa muislam je mngesema nini? huyu kihiyo mtu wenu, malizeni kila kitu.