MZEE WA ROCK
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 622
- 152
dr Kigwangara usichoke kupambana na magamba wenzio ingawa kidogo ktk hili umetutumua na kusema ukweri. hivi haya matahila magamba ni kweri hayana akili???? sababu mtu akizungumza ukweri wanaacha kujadili ajenda zao wanaanza kumjadili kwa nn kigwangara katetea fani yake, lkn aliye anzisha hyo mada inawezekana akawa ni Lukuvi coz yeye hana fani yoyote na elimu yake ya darasa la saba, hatakua anajiuliza ni lini na yeye ataweza kuwatetea wenzie? magamba ovyo sanaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!