ana advanced diploma ya uhasibu...kabla ya kuwa mkuu wa wilaya alikuwa bukoba huko.....mwaka 2005 baada ya uchagiz alikuwa anasema wazi wazi kuwa lazima awe mkuu wa wilaya...na kweli akachaguliwa akapelekwa bagamoyo....hajakaa sawa huyoooo kapelkwa arusha ...na kuna sababu za msingi kwa nini kapelekwa huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.