kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,880
kama unataka kuwasiliana nao hawa customer care inabidi uishushe roho yako...kama una hasira ziweke mbali kwa kuwa hawa jamaa ni pasua kichwa.
japokuwa wapo wachache sana ambao ukiongea nao unasikia kuwa wanajua wanachokifanya ila asilimia 80 ya ni kama hawajui wanachokifanya.
kwa kweli ukifikiria kuongea na customer care unaona bora usubiri hata siku mbili uende kwenye ofisi kuliko kuongea na hawa viumbe.
wengi wanaonekana kutokujua wanachokifanya.
wengine wanadharau sana.
kuna wale wanaoongea kama hawajapumzika wiki nzima..yaani wamechoka sanaa,wadai kuwa zile simu huwa zinarekodiwa...kama kweli hebu wahusika jaribuni kusikiliza hao watumishi wenu wanavyoongea na wateja wenu.
kuna siku niliambiwa na customer care eti nikate simu ili nikipiga tena niongee na mwingine kwa kuwa yeye hawezi kunisaidia..
mwingine aliniambia usikate simu mara akakata yeye..huku nikimsikia clear anavyobofya bofya.
CUSTOMER CARE JITAHIDINI KUWASAIDIA WATEJA..
japokuwa wapo wachache sana ambao ukiongea nao unasikia kuwa wanajua wanachokifanya ila asilimia 80 ya ni kama hawajui wanachokifanya.
kwa kweli ukifikiria kuongea na customer care unaona bora usubiri hata siku mbili uende kwenye ofisi kuliko kuongea na hawa viumbe.
wengi wanaonekana kutokujua wanachokifanya.
wengine wanadharau sana.
kuna wale wanaoongea kama hawajapumzika wiki nzima..yaani wamechoka sanaa,wadai kuwa zile simu huwa zinarekodiwa...kama kweli hebu wahusika jaribuni kusikiliza hao watumishi wenu wanavyoongea na wateja wenu.
kuna siku niliambiwa na customer care eti nikate simu ili nikipiga tena niongee na mwingine kwa kuwa yeye hawezi kunisaidia..
mwingine aliniambia usikate simu mara akakata yeye..huku nikimsikia clear anavyobofya bofya.
CUSTOMER CARE JITAHIDINI KUWASAIDIA WATEJA..