CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
akimtanganza leo baada ya kumaliza kikao cha baraza kuu naibu katibu mkuu Julius mtatiro amesema cuf imemteua Leopard mahona kuwa mgombea tena igunga.
No democracy in CUF?akimtanganza leo baada ya kumaliza kikao cha baraza kuu naibu katibu mkuu Julius mtatiro amesema cuf imemteua Leopard mahona kuwa mgombea tena igunga.
ivii wapendwa, naomba kuuliza:
ni kwa nini kila kitu ndani ya CUF nasikia kikisemwa na julius mtatiro? ina maana msemaji pekee wa cuf ni huyo na hakuna mwingine? nauliza manake ni muda sasa namsikia yeye tu tangu enzi zile za mashinikizo ya katiba mpya just after general election! lipumba wapi? seif wapi? duni wapi?
nauliza tu wajameni, just curious!
muwe na amani wapendwa!
kama ni chama kimoja nieleze kinawezaje kuwa chama tawala na vilevile kuwa chama cha upinzani?cuf ni chama kimoja ila msemaji ni prof LIPUMBA na mtatiro ni msaidizi wa katibu mkuu,