AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,040
- Thread starter
- #41
Kumbuka wanafanya hivyo kwa ajili ya umoja wao wa Ukawa sio kwa ajili ya ChademaNi vigunu sana watu wasio kua na itikadi moja kutwaa dola na hata wakiipata watasambaratika mapema sana.duni+lowassa kulazimisha uchadema kisa urais wakati hawana itikadi za uchadema ni rahisi sana kugeukana