CUF wakubali kutoa mgombea mwenza UKAWA

CUF wakubali kutoa mgombea mwenza UKAWA

Sasa nimeamini ukawa wana dhamira ya kweli kumkomboa mtz kutoka kwa mkoloni mweusi,mnyonyaji,mafisad na majiz (ccm) na kuwafikisha watz nchi ya ahadi.
 
Kuna kitu nimekiangalia kwa jicho makini sana na nadhani huu unaweza kuwa mwaka wa UKAWA kukamata nchi
 
Safi Sana CUF Kwa Ukomavu . Tumechoka na Kupewa Kanga na Kofia za Misisiem. Umoja ni Ushindi Viva UKAWA.

Kuitoa ccm madarakani ni kazi sana, yaani baado kabsa labda mpaka baada ya miaka 30 ijayo, kwa sababu zifuatazo; hata nyinyi wapinzani ni mafisadi vilivile, waroho wa madaraka tena mnatamaa ya pesa, mnakasumba ni heri utawala wa ccm kuliko nyinyi, Lowasa alikuwa fisadi alipokuwa ccm leo hii mnataka aje kwenu mnamuona mkombozi! acheni kudanganya watu bhana
 
Kuitoa ccm madarakani ni kazi sana, yaani baado kabsa labda mpaka baada ya miaka 30 ijayo, kwa sababu zifuatazo; hata nyinyi wapinzani ni mafisadi vilivile, waroho wa madaraka tena mnatamaa ya pesa, mnakasumba ni heri utawala wa ccm kuliko nyinyi, Lowasa alikuwa fisadi alipokuwa ccm leo hii mnataka aje kwenu mnamuona mkombozi! acheni kudanganya watu bhana

wewe bado unamawazo ya hovyo sana
 
Simkubali mamvi, lakini endapo UKAWA watamsimamisha tasumbua sana SISIEM, hapo ndipo tutakapoona wanahangaika kutupia goli la mkono, Lakini UKAWA wakisimama wao kama wao mafanikio yao ni kupata viti vingi vya ubunge huo ndo ukweli
 
Ni vigunu sana watu wasio kua na itikadi moja kutwaa dola na hata wakiipata watasambaratika mapema sana.duni+lowassa kulazimisha uchadema kisa urais wakati hawana itikadi za uchadema ni rahisi sana kugeukana
 
Imanaana Juma Duni (BABU) ndio atavaa gwanda kwa muda tu (kuwa mgombea mwenza) au moja kwa moja
 
natembea taratibu kwenda kujiandikisha...............................
wafanyakazi wangu wawili na gardener wangu taratibu........................
my husband.............................
we are five..........................
 
Back
Top Bottom