The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Uko Karagwe mbuge anaishi kwa oxygen ya polisi kwa mujibu wa thread moja ya jana
Uko Karagwe mbuge anaishi kwa oxygen ya polisi kwa mujibu wa thread moja ya jana
baada ya matokeo ya ushindi wa ccm kutangazwa tandahimba cuf wapingana na matokeo kwa kufanya vurugu wachoma nyumba na gari la mshindi moto...
hiyo ni demokrasia gani?
My take:JK ahakikishe at least majimbo kama Karagwe,Shinyanga Mjini,Mbovu West,Tandahimba,Tarime na mengine yenye utata yarudiwe uchaguzi angalau itampunguzia shinikizo ya kimataifa.EU wenyewe washasema uchaguzi haukuwa HURU NA HAKI!!!
Mbona hukuuliza kuiba kura ni demokrasia gani? Ukipanda miiba tegemea kuvuna miiba!baada ya matokeo ya ushindi wa ccm kutangazwa tandahimba cuf wapingana na matokeo kwa kufanya vurugu wachoma nyumba na gari la mshindi moto...
hiyo ni demokrasia gani?