Nasikia kesi ya HR mwenyekiti wa kikao ni SSH.... makubwa haya!
Waache wafu wazikane wenyewe!!.........
kama wasipoelewana shura ya Maimamu itaingilia kati kusuruhisha.
Kazi ipo kama mwana JF ana katiba ya CuF aiweke jamvini tupate kuidodosa na kujua zaidi!!labda wako sawa kutokana na katiba yao...ambayo waliibadilisha hao hao wa 2 ambao leo wanagombana....wakiwa kizuizini kwa muda mrefu sana!!!
Kama wako sawa kwa mujibu wa katiba yao, basi wana katiba mbovu kuliko katiba mbovu zaidi. Huwezi kuwa mtendaji kisha ukawa mtoa maamuzi na tena ukaja kujitathmini umetendaje na si ajabu hata auditing ukajifanyia wewe mwenyewe na kujipa clean reports. CUF acheni hizo!