CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
"Baraza Kuu kwa Mara nyingine limesikitishwa na muendelezo wa ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu nchini, hususan Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa kukusanyika, kupata na kutoa habari.
Hivyo Basi linaitaka Serikali kuheshimu katiba ya nchi. Chama Cha CUF kikipata ridhaa ya watanzania kuongoza nchini Oktoba 2020 kitaziondoa Sheria zote kandamizi au vifungu kandamizi katika Sheria mbalimbali, mfano sheria ya makosa ya kimtandao (Cyber Crime Act),Sheria ya vyombo vya habari (Media Law)Pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa (Political Parties Act) pamoja na Sheria ya vyama vya Siasa (Political Parties Act) ya 2019.
#MkutanoNaWanahabariLeo.