CUF sasa yameguka rasmi Pemba

CUF sasa yameguka rasmi Pemba

hilohilo moja linatosha,siku zinavyosonga na ww utapata akili,ni pale utakapo jiulza swali na ukapata jibu.kitendo cha seif kuwakataza wafuasi wake wasiandikiswe wakati hakuwa na nia yakususia uchaguzi alikua na nia gani?
 
jk hamjui seif,jk anamjua shein.nani anakudanganya kama seif anajulikana! kama anajulikana mwambie awa ambie masheha wawape vitambulisho wafuasi wake ili waka andikishwe
 
Laiti kama Mwalimu Nyerere angejua ni watu wa aina gani anatuunganisha nao, angewaacha wakae huko kwao wabaguane wenyewe kwa wenyewe.
Mpemba mbishi laiti ugejua jinsi Watanganyika wameuchoka muungano na watu wa huko kwenu (Wapemba), usingekaa kuropoka maneno yako ya kuonesha kwamba mmeuchoka huu muungano. Namshukuru Mungu hata huko Mtwara(ambao ndio walikua bado wanawatambua) wameanza kukishtukia hiki chama chenu cha Wabaguzi na wanarudi kundini.
Kifo cha Cough Tanzania ni dalili nzuri za kuonesha kwamba Watanganyika tumewachoka. Nazidi kumuomba Mungu muondoke kwa amani mkatengane huko huko msije mkatufundisha ubaguzi.
RIP COUGH
JMT UR NEXT!

Mkuu umenena vema,hawa watu hawana shukrani kabisa. Laiti angejua kuwa Abeid Karume ndie aliempigia magoti mwalimu Nyerere akimuomba waungane kwa kuogopa kupinduliwa na waarabu wala asingeropoka hovyo kiasi hicho. Mimi ningepewa maamuzi ya kuvunja muungano ningeuvunja maramoja. Kwanza hauna umuhimu wala msaada wowote kwetu sisi Tanzania bara zaidi ya kubeba mizigo tu. Umeme ambao unatoka bara tunauziwa bei juu, lakini zanzibar bei nafuu. Zanzibar mbunge wao anawakilisha watu wasiozidi 4000, huku ni kuongeza matumizi serikalini. Malalamiko kila siku ya muungano hayaishi mara tunanyonywa kwa lipi? Jamani tuvunje mahusiano nao wanatupotezea muda tu na kutuletea tamaduni zao mbaya kama ushoga,ukainilaini na nyinginezo.
 
Sasa siku Prof Lipumba anapotua uwanja wa pale Dar je wananchi tukampokee kwa bendera za KAFU Orijino, KAFU-Maalim Seif au KAFU-ADC ile mpya ya kwenye bahasha?

Tukampokee na bendera ya chama I MEAN YA CHADEMA.
 
Ni vema tuwe makini na njama za kisiasa na wala tusifurahie kifo cha cough maana ni anguko la democrasia na ushindi wa
unyapara wa ccm.Ni bora tungemrestisha seif sharif ili kuona nguvu mpya kwa changamoto mpya za kiasa
Kwa nn cough wasibadili uongozi kitaifa kama cdm?
 
Hakiiiii!!!haki sawa kwa naniii?kwa woteee.......!nalikumbuka lisloga lao.rest in peace C.U.F
 
Hakiiii........!sawaaaa....!haki sawa kwa nani? kwa woteeeeee!!, cuf ngangali!! Jino kwa jino!! R.I.P cuf.
 
kwa heri chama cha wananchi wa cough, buriani KAFU , ukamsalimie mwenzio aliye tangulia CCJ na tutakuzika rasmi 2015
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida tawi la wawi babarani muda huu viongozi wa wilaya ya chake chake wametolewa katika kikao hicho kwa matusi na kuambiwa sasa ni kambi ya ADC

Bado kidogo Malimu Selfish afukuzwe pale ikulu manakake yeye anaatamia tu pale kwenye yale masofa na kunywa ghahawa tu hana msaada wowote wala wazo la kuleta maendeleo. Na vile vizee vya kiswahili kule bungeni vinakera sana vinavyoshabikia magamba. Hamad Rashid ni kidume
 
Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.

Inahitajika Sheria ya kunyonga hadharani wabaguzi Kama wewe!
 
Mimi nimeshakujua wewe kijana wala hunipi tabu tena!! Kuendelea kubishana na wewe ni kupoteza muda bure! Vipi utandelea kubaki CCM au utajiunga na chama kipya cha ADC? Mganga njaa.

Matamanio Yako ya Pemba huru (sio zanzibar) Kamwe hayatotimia kwani wenye upeo finyu na chuki iliyogubikwa na ubaguzi uliokithiri ndani yake Kama wewe hawana nafasi katika nchi hii.
Na hakika dhambi hii itakumaliza wewe na hao wenzako hasa wa CUF wenye fikra Za aina Yako!
 
Suali hili hakuna haja ya kulijibu Mtatiro, hata mimi naweza kukupatia majibu: Maalim Seif anatambulika Pemba yote na ni Mkombozi wa Wazanzibari (hata Raisi wako Kikwete na Padri wako Slaa wanalijua hilo) bali Hamad Rashid ni mtoto ambaye kwa Zanzibar hakuna sehemu nyengine ambayo anajuilikana ukiwatoa wanafamilia yake hapa Wawi. Sasa atawezaje kukivuruga Chama sehemu ambayo hakubaliki; watu wameamua 'kumpotezea' na ndio maana tangu siku alipofukuzwa kutoka katika CUF hujasikia Kiongozi yeyote wa Chama akimzungumza. Zaidi hua anajiuliza maswali na kujipatia majibu mwenyewe sambamba na kupiga picha za 'kujiuzisha sura' na kina Mtalii Kikwete na Mr. Pinda; wapenda sifa wenzake! Nadhani tayari uchizi unaanza kumnyemelea!! Chezea Wapemba weweeeee! Kama hamumjui Maalim muulizeni Salmini Amour, Masauni Yussuf Masauni, George Kizuguto na wengineo (wote wamekua wafu hai) lakini Simba wa nyika ndio kwanza anadunda huku akiisubiria kuiona kwa macho yake JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR iliyo HURU ambayo itazaliwa hivi karibuni Mungu akipenda.

na bado, mwisho wa ubaya ni aibu
 
Kumbe tawi la Wawi tuuuuuu, ambapo hata ingekua kweli tawi hilo moja haliwashi wala halizimi!!!! Hata hivyo habari hizi sio za kweli mimi nipo hapa Wawi na ndio nyumbani hakuna kabisa habari hizii. Wapemba wanajielewa sio watu wa kuyumbishwa na kupelekeshwa! Na ndio maana hamujawahi kusikia hata siku moja katika historia ipo siku wamegawanyika; iwe kwa majimbo, wilaya, mikoa ama sababu nyengine zozote hamutowasikia daima Wapemba wakigawanyika kwa uwezo wa Mungu. Namshkuru Mungu sana kunijaalia kua MZANZIBARI!

Hapo kwenye red: Kuwa 'mzanzibari' au 'mpemba'? Huko Zanzibar si kilishanuaka kwa watu kibao kujitoa CUF!
 
Back
Top Bottom