CUF Morogoro mjini wanahujumu UKAWA

CUF Morogoro mjini wanahujumu UKAWA

Wewe bwa'mdogo nadhani wewe bado kinda kwenye maswala ya siasa za hapa tz! Ulishawahi kusikia Mbowe amekanusha suala la 10bn? Nakupa siku nzima ya kutafakari.. Usikurupuke kujibu hilo swali..

Atajibu kila upuuzi hata wa manafiki yanayoeleweka na ambayo wala sio wanachama wa ukawa huo muda mchafu atautoa wapi? Kazi nyingine za maendeleo ya chama azifanye saa ngapi?
 
Katika vikao vya UKAWA vya kugawana kata za manispaa ya morogoro viongozi CUF wamelazimisha wapewe kata nyingi wakati hawana uwezo wa kusimamisha wagombea katika kata hizo.

Matokeo yake wanawatafuta wagombea wa vyama vingine watoe pesa ili wawaachie kata hizo.

Mchezo huu utaigharimu UKAWA ,na kuna uwezekano mkubwa CCM wakapita bila kupingwa katika kata hizo.

Sakaya na Mnyika chukueni hatua za haraka kunusuru Hali hiyo katika kata hizo kwa kuruhusu chama kingine kuchukua fomu kama tahadhari.

Mkipuuzia hili imekula kwenu.

DSC01009.jpg
 
Wagombea wa CHADEMA wachukue na kurejesha fomu. Then watajitoa mbele ya safari endapo CUF watapata wagombea muafaka...
 
Katika vikao vya UKAWA vya kugawana kata za manispaa ya morogoro viongozi CUF wamelazimisha wapewe kata nyingi wakati hawana uwezo wa kusimamisha wagombea katika kata hizo.

Matokeo yake wanawatafuta wagombea wa vyama vingine watoe pesa ili wawaachie kata hizo.

Mchezo huu utaigharimu UKAWA ,na kuna uwezekano mkubwa CCM wakapita bila kupingwa katika kata hizo.

Sakaya na Mnyika chukueni hatua za haraka kunusuru Hali hiyo katika kata hizo kwa kuruhusu chama kingine kuchukua fomu kama tahadhari.

Mkipuuzia hili imekula kwenu.

Maneno yako yametimia mgombea wa CUF kata ya mwembesongo hajarudisha fomu mpaka muda huu na hana dalili ya kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom