CUF Morogoro mjini wanahujumu UKAWA

CUF Morogoro mjini wanahujumu UKAWA

zilzal

Senior Member
Joined
Jul 6, 2008
Posts
136
Reaction score
26
Katika vikao vya UKAWA vya kugawana kata za manispaa ya morogoro viongozi CUF wamelazimisha wapewe kata nyingi wakati hawana uwezo wa kusimamisha wagombea katika kata hizo.

Matokeo yake wanawatafuta wagombea wa vyama vingine watoe pesa ili wawaachie kata hizo.

Mchezo huu utaigharimu UKAWA ,na kuna uwezekano mkubwa CCM wakapita bila kupingwa katika kata hizo.

Sakaya na Mnyika chukueni hatua za haraka kunusuru Hali hiyo katika kata hizo kwa kuruhusu chama kingine kuchukua fomu kama tahadhari.

Mkipuuzia hili imekula kwenu.
 
Katika vikao vya UKAWA vya kugawana kata za manispaa ya morogoro viongozi CUF wamelazimisha wapewe kata nyingi wakati hawana uwezo wa kusimamisha wagombea katika kata hizo.matokeo yake wanawatafuta wagombea wa vyama vingine watoe pesa ili wawaachie kata hizo.mchezo huu utaigharimu UKAWA ,na kuna uwezekano mkubwa CCM wakapita bila kupingwa katika kata hizo.Sakaya na Mnyika chukueni hatua za haraka kunusuru Hali hiyo katika kata hizo kwa kuruhusu chama kingine kuchukua fomu kama tahadhari.mkipuuzia hili imekula kwenu.

Unashangaa nini? Mbona Lowasa katoa fedha ili agombee Urais kupitia UKAWA?

Mtu aingie chama siku hiyo hiyo apewe kugombea Urais siku hiyo hiyo?

Katibu Mkuu wa Chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hapo sasa!
Ewe!
 
Last edited by a moderator:
Huwa mtu anaesema lowasa kaninunua chadema namdharau sana,tena sana,namuona kama hajui siasa ni nini?? Hivi mtu unawezaje kununua chama?? Chama cha siasa sio chama cha mpira,,yaani mtu anapayuka kabisa kwamba lowasa kanunua chama?? Kwenye siasa mtu kuhamia cku hiyo hiyo na kupewa usukani sio shida jamani,ilimradi tu awe anafiti nafasi hyo,wewe unaesema chama kimenunuliwa hebu jipime kwanza kama unajielewa,,lowasa na slaa wote ni wanasiasa, kinachoangaliwa ni yupi mwenye wafuasi wengi,huyo ndo ataleta ushindi
 
Unashangaa nini? Mbona Lowasa katoa fedha ili agombee Urais kupitia UKAWA?

Mtu aingie chama siku hiyo hiyo apewe kugombea Urais siku hiyo hiyo?

Katibu Mkuu wa Chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hapo sasa!
Ewe!

Huu ndiyo unafiki, siku zote mmekuwa mkimnanga vibaya babu Dr.W.Slaa , leo hii mnajifanya mnamapenzi mema naye.
 
Last edited by a moderator:
CUF wanahujumu UKAWA au WEWE ni mpenzi wa CHADEMA na unadhani wanahujumu CHADEMA? acheni kutumia jina UKAWA kujifichia!
 
Acha kauli za kipuuzi nani kakwambia lowasa kanunua ukawa? Mtaisoma namba mwaka huu.

Huwa mtu anaesema lowasa kaninunua chadema namdharau sana,tena sana,namuona kama hajui siasa ni nini?? Hivi mtu unawezaje kununua chama?? Chama cha siasa sio chama cha mpira,,yaani mtu anapayuka kabisa kwamba lowasa kanunua chama?? Kwenye siasa mtu kuhamia cku hiyo hiyo na kupewa usukani sio shida jamani,ilimradi tu awe anafiti nafasi hyo,wewe unaesema chama kimenunuliwa hebu jipime kwanza kama unajielewa,,lowasa na slaa wote ni wanasiasa, kinachoangaliwa ni yupi mwenye wafuasi wengi,huyo ndo ataleta ushindi

Wewe bwa'mdogo nadhani wewe bado kinda kwenye maswala ya siasa za hapa tz! Ulishawahi kusikia Mbowe amekanusha suala la 10bn? Nakupa siku nzima ya kutafakari.. Usikurupuke kujibu hilo swali..
 
Kama nyinyi mlivokuwa mnananga lowassa

Mimi nilimsema specifically FaizaFoxy , kama wewe uliniona ninamfanya huo unafiki then hii comment yako itakuwa sahihi. Sijui kwanini na wewe unashabikia unafiki wa watu halafu unajiita Great Thinker.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilimsema specifically faizafox , kama wewe uliniona ninamfanya huo unafiki then hii comment yako itakuwa sahihi. Sijui kwanini na wewe unashabikia unafiki wa watu halafu unajiita Great Thinker.

Great thinker ni wewe usiyekuwa dynamic wala sio mnafiki,fisadi ni fisadi popote alipo
 
Last edited by a moderator:
Unashangaa nini? Mbona Lowasa katoa fedha ili agombee Urais kupitia UKAWA?

Mtu aingie chama siku hiyo hiyo apewe kugombea Urais siku hiyo hiyo?

Katibu Mkuu wa Chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hapo sasa!
Ewe!

kwani kuna katiba ilikiukwa au ni mawazo yako ambayo ni unpromatic!
 
Last edited by a moderator:
CUF wanahujumu UKAWA au WEWE ni mpenzi wa CHADEMA na unadhani wanahujumu CHADEMA? acheni kutumia jina UKAWA kujifichia!

Hili liko wazi ukitaka ushahidi utapewa.kata ya kiwanja cha ndege wameichukua na wamempa Mazolla kada wa CCM ambae hata haijulikani alitoka lini na alijiunga lini na CUF.na kata zingine 2 wamezisalimisha kwa CDM.
 
Huwa mtu anaesema lowasa kaninunua chadema namdharau sana,tena sana,namuona kama hajui siasa ni nini?? Hivi mtu unawezaje kununua chama?? Chama cha siasa sio chama cha mpira,,yaani mtu anapayuka kabisa kwamba lowasa kanunua chama?? Kwenye siasa mtu kuhamia cku hiyo hiyo na kupewa usukani sio shida jamani,ilimradi tu awe anafiti nafasi hyo,wewe unaesema chama kimenunuliwa hebu jipime kwanza kama unajielewa,,lowasa na slaa wote ni wanasiasa, kinachoangaliwa ni yupi mwenye wafuasi wengi,huyo ndo ataleta ushindi
Mkuu sijui utajibu wangapi.
 
Dr. W. Slaa amekijenga chama zaidi ya miaka 10 hivi leo akaomba apumzike like 2 months kweli tumnyime likizo? Muwe fair mda mwingine, mbona wafanyakazi wa Serikali kila mwaka wanaenda likizo...
 
Last edited by a moderator:
Unashangaa nini? Mbona Lowasa katoa fedha ili agombee Urais kupitia UKAWA?

Mtu aingie chama siku hiyo hiyo apewe kugombea Urais siku hiyo hiyo?

Katibu Mkuu wa Chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hapo sasa!
Ewe!
Lowassa katoa Tshs ngapi?Mbona hajakamatwa mpaka leo?Nchi hakuna?Lowassa anatoa tu hela au?Mbona mnaweweseka?Mnajiabisha wenyewe na aina zenu za comments
 
Mpaka sasa inafurahisha jinsi wafuasi wa cuf na viongozi wakuu wamehakikisha cuf inabakia ukawa ingawa kuna baadhi ya viongozi wachache wa cuf wapo kwa ajili ya maslahi yao ikiwemo kuuwa nguvu za upinzani.
 
Katika vikao vya UKAWA vya kugawana kata za manispaa ya morogoro viongozi CUF wamelazimisha wapewe kata nyingi wakati hawana uwezo wa kusimamisha wagombea katika kata hizo.

Matokeo yake wanawatafuta wagombea wa vyama vingine watoe pesa ili wawaachie kata hizo.

Mchezo huu utaigharimu UKAWA ,na kuna uwezekano mkubwa CCM wakapita bila kupingwa katika kata hizo.

Sakaya na Mnyika chukueni hatua za haraka kunusuru Hali hiyo katika kata hizo kwa kuruhusu chama kingine kuchukua fomu kama tahadhari.

Mkipuuzia hili imekula kwenu.

Kwani cha ajabu nini acha kulalama
 
Unashangaa nini? Mbona Lowasa katoa fedha ili agombee Urais kupitia UKAWA?

Mtu aingie chama siku hiyo hiyo apewe kugombea Urais siku hiyo hiyo?

Katibu Mkuu wa Chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Hapo sasa!
Ewe!
weka ushahidi .
 
Last edited by a moderator:
Wewe bwa'mdogo nadhani wewe bado kinda kwenye maswala ya siasa za hapa tz! Ulishawahi kusikia Mbowe amekanusha suala la 10bn? Nakupa siku nzima ya kutafakari.. Usikurupuke kujibu hilo swali..
hivi huu uzushi na uzandiki wako umekusaidia nini tangu uanze kuutenda ?
 
Back
Top Bottom