kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
CUF MAHOJIANO LIVE ndani ya WAPO RADIO..Wanasma CDM wamedandia hoja yao kwenda kumuona Rais IKULU
wana mimba ya ccm hao!
Msemaji wa Cuf anasema wapo ktk Mpango wa kumushi nikiza Tendwa atengue viti maalumu CDM kwa kuwa Ni Kifamilia,mimi nasema kama ana akili timamu kwa nini asianze ni ccm am bapo kuna akina Zainabu Kawawa, Vicky Kamata ,.Mwaka 2003 Mbatia alifungua kesi kutengua wabungua wabunge wa Cuf ili CCM ISHINDE. Leo cuf inataka kutengua viti maalum Cdm ili CCM IPITISHE MSwaada wa katiba mpyawaambieni chadema ni wanaume kwenda kuonana na mume wao wasipate wasiwasi wanaongea mambo ya kiume ndoa yao ipo palepale
Msemaji wa Cuf anasema Cdm inaua Cuf bara ,lakini mimi nimemusikia Hamadi Rashid akisema Maalimu Seif anaua Cuf bara na amepanga kugombea nafasi hiyo kumutoa!NCCR imekufa kwa kuwa imeimarisha CCM,na Cuf inakufa kwa kufunga ndoa Na CCM.