Hivi Chadema mbona hawataki vyama vingine vifanye harakati zao za kisiasa, Chadema hawapatani na TLP, hawapatani na CUF, hawapatani na UDP, hawapatani na NCCR Mageuzi, hawapatani na hivi vyama vipya ADC, CCK..
Sasa msijifanye nyie ndio wapinzani wa Tanzania kwa kupata wabunge 23 Tanzania kubwa kuna sehemu Chadema hawafahamiki.
Hivi Chadema mbona hawataki vyama vingine vifanye harakati zao za kisiasa, Chadema hawapatani na TLP, hawapatani na CUF, hawapatani na UDP, hawapatani na NCCR Mageuzi, hawapatani na hivi vyama vipya ADC, CCK..
Sasa msijifanye nyie ndio wapinzani wa Tanzania kwa kupata wabunge 23 Tanzania kubwa kuna sehemu Chadema hawafahamiki.
Hivi Chadema mbona hawataki vyama vingine vifanye harakati zao za kisiasa, Chadema hawapatani na TLP, hawapatani na CUF, hawapatani na UDP, hawapatani na NCCR Mageuzi, hawapatani na hivi vyama vipya ADC, CCK..
Sasa msijifanye nyie ndio wapinzani wa Tanzania kwa kupata wabunge 23 Tanzania kubwa kuna sehemu Chadema hawafahamiki.
wanahela? Au wamefadhiliwa na nani? Chadomo tunajua ni kanisa ujerumani na ruzuku. Mafisadi jina linajieleza, hawa je?