CUF kulikoni mkoani Tabora?

CUF kulikoni mkoani Tabora?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
CHADEMA inajulikana kufanya mkutano wao leo mjini Tabora, CUF mnapita leo hii hii na tangazo, tena na maspika makubwa makubwa, la kufanya mkutano wenu kesho. Sasa mnaajenda gani? Hamuoni huku ni kuwachanganya wananchi? Ushauri wangu kwa nyie vyama MBADALA ukiona mwenzio kakutangulia kupita leo basi wewe pita baada ya wiki! Sio kama mnavofanya hivi, au kuna namna?
 
Sasa lipumba ni mpiga debe wa ccm mchana kweupe. Kaungana na ccm kuishambulia chadema. Hana maana tena katika upinzani huyu.
 
Wanamsaidia kaka mkubwa, au wametumia gia hii ili kuwapata watu wengi kwenye mkutano wao, si unajua kwasasa cuf ni mwendo wa kinyonga.
 
Wanamsaidia kaka mkubwa, au wametumia gia hii ili kuwapata watu wengi kwenye mkutano wao, si unajua kwasasa cuf ni mwendo wa kinyonga.
Haipendezi na si AFYA ya siasa nchini mwetu.
 
Sasa lipumba ni mpiga debe wa ccm mchana kweupe. Kaungana na ccm kuishambulia chadema. Hana maana tena katika upinzani huyu.
Kafirisika, yeye angegombea ubunge kwanza angeshinda. Kwa kuwa busara ni ndogo kang'ang'ania uraisi tuu.
 
CHADEMA inajulikana kufanya mkutano wao leo mjini Tabora, CUF mnapita leo hii hii na tangazo, tena na maspika makubwa makubwa, la kufanya mkutano wenu kesho. Sasa mnaajenda gani? Hamuoni huku ni kuwachanganya wananchi? Ushauri wangu kwa nyie vyama MBADALA ukiona mwenzio kakutangulia kupita leo basi wewe pita baada ya wiki! Sio kama mnavofanya hivi, au kuna namna?
Huo mkutano unahusiana na ile kampeni yao ya mchakamchaka?
 
Vyama vya upinzani umoja wenu ndo kunaweza kuwa poneo kwenu kuinusa ikulu ubinafsi na woga wa kuwa tukiungani mimi ntakuwa nani au ntabaki kama nani bado safari ni ndefu
 
Ratiba ya CUF ilikuwepo mapema kabla ya CDM, Tatizo cdm hawana ratiba maalumu kama kunguru, wanakurupuka tu.
 
Ratiba ya CUF ilikuwepo mapema kabla ya CDM, Tatizo cdm hawana ratiba maalumu kama kunguru, wanakurupuka tu.
Kama ni kweli mbona walikaa kimya tu mpaka wenzao walipoanza?
 
ccm mume, cuf mke. Duh ndoa tam sana. Mke katumwa na mume kwenda kuwachapa watoto wa jirani.
 
Back
Top Bottom