CUF katika mkutano leo DSM


Hawa jamaa wanapokosea ndiyo hapo,CHADEMA si sababu kuu ya anguko lenu nyie kila kukicha mnaishambulia CHADEMA kama ndiyo yenye serikali mkiitwa CCM B mnalalamika,nendeni mkajipange upya mmeshapotea machizi nyie
 
Kiby, nina uhakika, hata kama huna camera, simu yako inaweza kupiga picha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…