EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Kama CDM hakitishi ilikuwaje kikawamwaga CUF Igunga?Unaposema kampeni makanisani mbona hukushangaa maaskofu 2005 kusema kikwete ni chaguo la Mungu?Acheni hizo ndugu,jipangeni upya manake mziki wa CDMhamuuwezi.Mmesikia CDM wanakwenda kumuona Rais na nyie mnataka.Mnakwenda kumwambia nini wakatimlibariki kila kitu kule bungeni?Acheni unafiki.