Jamani hii nenda google,,ni kwamba ccm ilikua chama cha kanisa na maaskof wa kikatoliki enzi za mkapa kwani walimuandaa wenyewe kua rais tokea anasoma ndanda karibu na ndanda mission,,na nadhani mnajua kuna watu watano ktk nchi wanaotoa maamuzi mazito ya nchi,hivyo mkatoliki mkapa akamweka pengo ktk hao watu watano kisirisiri ila kwa akili ya kawaida huezi jua,,then ndo maana mkapa wakati wake wakatoliki walitimiziwa mahitaji yao yoooote kwani ccm ilikua chini ya maaskofu na kuiunga mkono,,sasa chanzo cha ccm kupigwa vita ni pale jakaya alivoingia madarakani na akaona upuuzi alioufanya mkapa wa kumweka pengo ktk kutoa maamuzi mazito ya nchi,alicho fanya ni kumtoa na kumwambia "HAPA SI PAHALA PAKO,WEWE NENDA KANISANI NDO panakufaa"..sasa hilo ndo kosa jakaya kafanya ndo maana uongozi wake anafanyiwa njama nyingi ili aonekane hafai,ndo maana maaskofu wakaihama ccm kwa kuona haiwatimizii matakwa yao,wakahamia chadema,na kusema kwamba chadema ni chama cha maaskofu kisirisiri ni pale uchaguzi wa 2011 mkoani Iringa ambapo maaskofu walihimiza waumini wao kipigia cdm kura,lakini wale walioipa ccm wakaandikiwa barua za kufukuzwa dini kisa walimchagua muislan(jk)na sio askofu(slaa),,na kibaya zaidi udini ktk vyama umeanzshwa na cdm kwani pita kila kanisa utakuta maaskofu wana wahimiza waumini waipe cdm,,mfano mzuri ni kanisa katoliki pale ndanda mission,,hivyo na sisi tuseme kua kanisa ndo ofis za cdm???hivyo cdm kupata nguvu ni kutokana na nguvu zooote za maaskofu kuziamishia cdm toka ccm,,
Si maneno yangu,ila explanations ndo zangu ,zaidi
Vist on google TZCHURCH.com
Yang ni hayo,hivyo sishangai kusikia kwamba waandish kuipendelea cdm kwani nao wote ni cdm..ndo maana wanaipa kipaumbele ktk magazeti,,,na nyinyi waislam msiogope kujitangaza wazi wazi kua ni CUF kama wakatoliki wanavyofanya katika makanisa yao hadi kufukuzwa dini ukienda against(eg Ndanda mission-mtwara)
Thnx[/QUOTE
Waislam nao wamenyimwa haki zao na jakaya mrisho kiwete wamehamia cuf hadi mikitini wanawaambia tulikosea cuvote mr president kumbe siye mwenzetu chugueni waislam lipumba.