CUF Ina mgogoro na Vyombo vya Habari?

Matoto ya KIKRISTO a.ka. CHADEMA mnatia kinyaa kwa post zenu. Hamjajifunza tuu? Kejeli za KIDINI kwa CUF hazisaidii kuijenga CHADEMA, wanaonufaika ni CCM! Hakuna muislam atajiunga CHADEMA wakati munawakashifu kila uchao! Tokeni nyuma ya vinanda enyi watu!

zitto, safari, mbuge wa lukwa etc ni wakristo? Nenda kajiunge na waasi wenzako mjitoe mhanga vizuri nigeria
 
kama ni hivyo mbona habari za ccm na chadema zinaandikwa vizuri tu,kwanini ccm iliyojiunga na cuf iendelee kuwa maarufu huku cuf ndio ionekane imepoteza umaarufu kisa madai kwamba imeungana na ccm ilhali haijaungana na ccm

Mkuu, aliye maarufu ni kidume muoaji na sio aliyewekwa kinyumba! CCM imeoa CUF, TLP, UDP, NCCR, et. al. Hivyo, katika ndoa hiyo atakayesikika ni "kidume". Yaani wewe ulitegemea bi mkubwa na wadogo nao wasikike? Na katika hao, inaoenekana CUF ndiye "first lady" ndio maana angalau anapendelewa.

Kwanza kwa desturi zetu ni marufuku mke kuonekana hadharani bali mumewe. Eti uolewe halafu uendelee kuwa maarufu, binti akishaolewa na umaarufu wake mtaani unakuwa umefikia tamati. Unachekesha wewe.
 
zitto, safari, mbuge wa lukwa etc ni wakristo? Nenda kajiunge na waasi wenzako mjitoe mhanga vizuri nigeria

Yani huyo unaemtambulisha kama "mbunge wa lukwa' hata jina lake hulijui wakati ni mtu wa pili kwa cheo ndani ya chadema baada ya mbowe,wewe unamjua padri tu,jamani acheni ukristo kupita kiasi fanyeni siasa na mjivue gamba ukristo
 
Mkuu, aliye maarufu ni kidume muoaji na sio aliyewekwa kinyumba! CCM imeoa CUF, TLP, UDP, NCCR, et. al. Hivyo, katika ndoa hiyo atakayesikika ni "kidume". Yaani wewe ulitegemea bi mkubwa na wadogo nao wasikike? Na katika hao, inaoenekana CUF ndiye "first lady" ndio maana angalau anapendelewa.

Kwanza kwa desturi zetu ni marufuku mke kuonekana hadharani bali mumewe. Eti uolewe halafu uendelee kuwa maarufu, binti akishaolewa na umaarufu wake mtaani unakuwa umefikia tamati. Unachekesha wewe.

very cheap!
 
Jamani hii nenda google,,ni kwamba ccm ilikua chama cha kanisa na maaskof wa kikatoliki enzi za mkapa kwani walimuandaa wenyewe kua rais tokea anasoma ndanda karibu na ndanda mission,,na nadhani mnajua kuna watu watano ktk nchi wanaotoa maamuzi mazito ya nchi,hivyo mkatoliki mkapa akamweka pengo ktk hao watu watano kisirisiri ila kwa akili ya kawaida huezi jua,,then ndo maana mkapa wakati wake wakatoliki walitimiziwa mahitaji yao yoooote kwani ccm ilikua chini ya maaskofu na kuiunga mkono,,sasa chanzo cha ccm kupigwa vita ni pale jakaya alivoingia madarakani na akaona upuuzi alioufanya mkapa wa kumweka pengo ktk kutoa maamuzi mazito ya nchi,alicho fanya ni kumtoa na kumwambia "HAPA SI PAHALA PAKO,WEWE NENDA KANISANI NDO panakufaa"..sasa hilo ndo kosa jakaya kafanya ndo maana uongozi wake anafanyiwa njama nyingi ili aonekane hafai,ndo maana maaskofu wakaihama ccm kwa kuona haiwatimizii matakwa yao,wakahamia chadema,na kusema kwamba chadema ni chama cha maaskofu kisirisiri ni pale uchaguzi wa 2011 mkoani Iringa ambapo maaskofu walihimiza waumini wao kipigia cdm kura,lakini wale walioipa ccm wakaandikiwa barua za kufukuzwa dini kisa walimchagua muislan(jk)na sio askofu(slaa),,na kibaya zaidi udini ktk vyama umeanzshwa na cdm kwani pita kila kanisa utakuta maaskofu wana wahimiza waumini waipe cdm,,mfano mzuri ni kanisa katoliki pale ndanda mission,,hivyo na sisi tuseme kua kanisa ndo ofis za cdm???hivyo cdm kupata nguvu ni kutokana na nguvu zooote za maaskofu kuziamishia cdm toka ccm,,


Si maneno yangu,ila explanations ndo zangu ,zaidi

Vist on google TZCHURCH.com


Yang ni hayo,hivyo sishangai kusikia kwamba waandish kuipendelea cdm kwani nao wote ni cdm..ndo maana wanaipa kipaumbele ktk magazeti,,,na nyinyi waislam msiogope kujitangaza wazi wazi kua ni CUF kama wakatoliki wanavyofanya katika makanisa yao hadi kufukuzwa dini ukienda against(eg Ndanda mission-mtwara)

Thnx[/QUOTE
Waislam nao wamenyimwa haki zao na jakaya mrisho kiwete wamehamia cuf hadi mikitini wanawaambia tulikosea cuvote mr president kumbe siye mwenzetu chugueni waislam lipumba.
 
Ulimsikia Makamu Mwenyekiti, CUF Taifa juzi pale Jangwani na wito wake kwa waislamu? Aliongea as if yuko kwenye Islamic Republic.
Dudus kwa faida yangu nawengine ambao hatukuwepo Jangwani tujulishe alisemaje kwa waislam?
 
Dudus kwa faida yangu nawengine ambao hatukuwepo Jangwani tujulishe alisemaje kwa waislam?

walichosema cuf ni kwamba waislam kama ccm na chadema wanasema cuf ndio chama chenu tokeni huko njooni huku kwani kwa kusema hivyo ni kwamba chadema hawataki waislam ndio mana wanasisitiza cuf ndio chama cha waislam sio chadema,ccm nao zamani walikuaga na ujinga huo,kila kukicha cuf chama cha waislam baadae wakastuka kuona umaarufu wao kwa waislam unazidi kuporomoka,kuna kitu chadema wanakisahau kwamba huwezi kushinda urais bila kupata kura za waislam,na ndio ccm wanapowashindia na nyie kubai mnadai wanawaibia,wenzenu wana kur zote za waislam na wakristo wanazichanganya pamoja ndio mana wanawashinda,amkeni usingizini,hata kama usingizi ni mtam kiasi gani inabidi tu muamke sasa la sivyo ikulu mtaisikia kwenye bomba na kubaki kugombania na cuf ni kipi chama kikuu cha upinzani tanzania kati yenu huku ccm ikiendelea kutesa na mtaji wakura za waislam na wakristo.
 
Dudus kwa faida yangu nawengine ambao hatukuwepo Jangwani tujulishe alisemaje kwa waislam?

Aliwahimiza WAISLAMU kujiunga na CUF.

Kwa secular state kama Tz na kwa nafasi yake katika chama alipaswa kuwahimiza wananchi wote kujiunga na chama chake badala ya kulenga kundi moja (waislamu) pekee!

Hii tafsiri yake ni nini? Ukiongeza na kejeli dhidi ya maombi ya "mchungaji" wakati wa kufungua mkutano inaleta tafsiri gani kwa jamii?

Ule ulikuwa mkutano wa kidini au kisiasa uliojumuisha makundi yote ya kijamii?

Halafu hawa wasipoandikwa "vizuri" na vyombo vya habari kama wanavyotaka wao wanaleta vitisho na ujinga wao hapa!

In fact navisifu vyombo vyote vya habari ambavyo havikuupa uzito mkutano ule kwani kama vingenukuu "upuuzi" (I am sorry to say this) ule wa makamu mwenyeketi ingekuwa kuchochea hali tete ya taifa letu kimahusiano.

Big up vyombo vya habari kwa kuonesha uzalendo kwa taifa letu - AMANI KWANZA.
 
Back
Top Bottom