Tetesi: CUF Bara kugomea mkutano wa Tanga

KIGWANYA

Member
Apr 14, 2016
81
103
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Taarifa imetolewa na-
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
 
Hivi bado Mtatiro anajiita Mwenyekiti pamoja na kuonywa na Msajili?
 
M
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Taarifa imetolewa na-
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
Mkutano Mkuu wa wilaya leo unataka uhitishwe na mwenyekiti au Katibu tena ndugu? Ama kweli Lumumba kuna Vilaza kibao. Mkutano Mkuu wa wilaya kawaida unaitishwa na viongozi wilaya na si taifa, pia Lipumba ndani ya Cuf hana cheo na si mwanachama hata kama mtapasua mbingu wewe subiri kesi iungurume mahakamani uone. Yule ni chizi katumwa na chizi wenziye. Viongozi wa Cuf taifa ndio hao wawili walioarikwa yaani Mtatiro na Maalim.
 
AFRICANS GIVE THEM GUNS THEY WILL KILL THEM SELVES



AJABU MTU KAJIUZULU HALAFU BADO ANAYATAKA MADARAKA HAPO ZIMEKOSEKANA BUNDUKI SOON WANGELIPUANA NASHUKURU MUNGU LIPUMBA HAKUFANIKIWA KUINGIA IKULU HIYO NDIO RANGI YAKE HALISI ASINGEKUBALI KUONDOKA IKULU.
 
Buguruni anapatolea macho vipi angefanikiwa kuingia magogoni mlangoni pana nembo ya bibi na bwana.
 
Bara ipi ? Tanga si bara ni pwani
Kuna cuf moja tu. Lipumba ni cuf ya msajili....
 
Sema CUF Lipumba na siyo CUF Bara ambapo wengi hawaungi mkono ujinga wa PROPESA. Kwani huko Tanga kulikoitishwa kikao tangu lini kumekuwa visiwani!?

Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Taarifa imetolewa na-
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
 
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Taarifa imetolewa na-
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
sasa ndugu mbona unanichanganya kwa kichwa cha habari ulichoandika, hivi tanga ipo bara au zanzibar? maana kama cuf bara wagomea mkutano mbona tanga ni bara na ndo wameamua kumualika maalim seif, sasa cuf bara wamegomaje?
 
Back
Top Bottom