Crown Athlete 2008 inauzwa

Crown Athlete 2008 inauzwa

Kweny millage 35000 umesema uwongo hili ndio tatizo letu sisi watanzania hakuna kitu kama hicho gari ya mwaka 2008 .

Tuwe wakweli jamani
Hiko kitu Mileage sijui alichoweka 35000 sijui ndo nini, na kama angejua maana yake halisi wala asingeiandika hivyo, maana hamna kitu kama hicho. Maana halisi ya Mileage ni uwezo wa gari/vehicle ukiwa na lita 1 ya mafuta litaenda umbali gani, sasa ye kama aliandika 35000 ni dhahiri uwongo wa kiwango cha zege...!!
 
Kweny millage 35000 umesema uwongo hili ndio tatizo letu sisi watanzania hakuna kitu kama hicho gari ya mwaka 2008 .

Tuwe wakweli jamani
Ndio mileage iliyopo sasa wataka nikwambie ipi. Hiyo ndiyo mileage inayosoma..
 
Hiko kitu Mileage sijui alichoweka 35000 sijui ndo nini, na kama angejua maana yake halisi wala asingeiandika hivyo, maana hamna kitu kama hicho. Maana halisi ya Mileage ni uwezo wa gari/vehicle ukiwa na lita 1 ya mafuta litaenda umbali gani, sasa ye kama aliandika 35000 ni dhahiri uwongo wa kiwango cha zege...!!
Hujakosea pia hiyo ni maana yake.
Sijakosea pia nilichoandika.
Angalia hii picha toka car trade view, kisha zunguka mitandao yote ya japan ya kuuza magari uone hilo neno limetumikaje
Unataka kusema aliyeandika hapo hiyo gari inaenda km 107,000 kwa litre?

Usikariri mkuu
1480615631784.png
 
Kweny millage 35000 umesema uwongo hili ndio tatizo letu sisi watanzania hakuna kitu kama hicho gari ya mwaka 2008 .

Tuwe wakweli jamani
Mfano ona hiyo allion ya mwaka 2003 in mileage 43000km.
Sasa nikiinunua nikaamua kuiuza we utataka nimdike in mileage ngap?
1480615971123.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom