Inategemea na background yako. Kama kwenu magetini na wazee wanaweza kukushika mkono ukapata kazi Agha Khan, AAR na vijihospitali vizuri vizuri au kama mnaweza kufungua hospitali yenu unaweza kusoma Medicine.
Ila kama wewe ni mwenzangu na mimi, Pharmacy itakusaidia kupata kasehemu ka kuanzia. Lakini kuna kozi wengi wanaisahau inaitwa Doctor of Dental Surgery (DDS). Iko vizuri sana, na Tanzania inapatikana only MUHAS