CRJE na ufisadi serikalini


swala la udom ni kwamba lile eneo waliopewa kujenga chuo ni earth quake zone that why halikua na kitu asilimia kubwa jamaa wamekurupuka kushusha migorofa ya nguvu bila kuomba ushauri ofisi ya georgical survey of tanzania hata pindi walipofuatwa shauriwa nasikia uongozi walikua wabishi thats why all
 
Kila kitu kina mwisho....rushwa kwenye ujenzi inatisha na naona kama tunafanya kazi kama haipo
 

Mkuu ebu niambie ni old structure or mpya inayojengwa?
 

Nakubaliana na wewe Dodoma ni earth quake zone!

Kaka ni hatari kudesign bila kujumuisha vitu hivyo!! kwa taarifa tu sio earh quake factor ambayo iliwekwa kwenye majengo ambayo nihusika hata soil bearing capacity tuliyotumia ilikua ndogo compare na soil profile tulioikuta site hence very advantage kwa stability ya structure.

Kama earth quake ikipita mazara kidogo unayoweza pata ni kama vile tiles kubanduka au hata vioo kupasuka na sio failure ya structure members unless otherwise.
 

Ebu weka sawa haya maneno yako kama yana kosa mtiririko fulani na kupoteza maana, samahani sana.
 
mhhh

issue hii haijakaa sawa japo nimetonywa hii kampuni inatoa hisa kwa mkulu mwenyewe sasa sina hakika juu ya haya
najua humu kuna ma injinia wengi tuu wanaweza kutufungua macho
 
Crje ni kampuni ambayo serikali ya china ina share kubwa zaidi, kama ni rushwa itakuwa kwenue level ya juu sana, ambapo hata wahisani wengine wanafanya hivyo wanapotoa misaana na kuleta kabampuni yao ya ujenzi kufanya kazi husika.

Kiutendaji crje ni wazuri sana kama kazi husika umemtafuta kwa kupitia utaratibu single source, lakini sehemu yeyote kwenye ushindali lazima ataweka gharama kidogo ili apate kazi , kwani wao hawaangalii faida tu bali hata kuwapatia kazi watu wao sehemu yeyote duniani
 
Thread imekaa kifitna fitna tuu

hamna la zaidi mnataka kuharibia watu majina

unless mtu alete ushahidi uliokamilika ku support hizi tuhuma.

au aje mtu atupe direct from the industry

Kama hujui unachokisema bora ukakaa kimya na ukanyamaza
 

mimi naona makampuni ya Kizalendo bora yakafute tuu uanachama wake pale ERB kwani haina maana kusajiliwa na kulipa ada huku kazi zenyewe zote wanapewa wenye kutoa pesa
 
mimi naona makampuni ya Kizalendo bora yakafute tuu uanachama wake pale ERB kwani haina maana kusajiliwa na kulipa ada huku kazi zenyewe zote wanapewa wenye kutoa pesa
Mkuu, ERB ni engineers registration board aina uhusiano na wakandarasi labda una maana CRB mimi ni shabiki sana ya wazawa wakandarasi kuna baadhi wachache wanajitahidi lakini wengi mzee baraa na supervise wengi mzee utachoka na utageuka kutoka kuwa muhandisi na kuwa foreman hata wengine awawezi kutofautisha m3 na m2
 

Hiyo nimeipenda maana wazawa tuanataka kila kitu kupendelewa hata kama hatuna uwezo, ofisi za brifkesini mitaji hatuna. Ningedhani kwani tufanye overhaul ya system ya mikopo katika mabank yetu na wakandarasi wazawa tuwe committed kweli kweli kwani aliyeyaua mashirika ya umma si watz wenyewe? leo tunaambiwa Mataka kafikishwa mahakamani kwa uzembe akiwa ofisini halafu tunabaki kulalamika tu.

Swala la wazawa kupendelewa ni mambo ya kisiasa hayo, kama tender ni open internationally sasa wachina wanashida gani hapo?
 
Mkuu Fighter,

Nakubaliana na hoja zako.Mkuu wangu kampuni za wazawa ni hovyo kabisa hawajali wala hawaheshimu kazi hasa wakisha lamba advance.Kuna hotel imejengwa na wachina opposite ofisi ya mkuu wa mkoa Arusha waandisi walikuwa wanalala sehemu ya kazi sasa sijui ni kubana matumizi au kusimamia kazi masaa mengi sijui ila wakati mwingine nikipita muda wa saa 2 usiku unashangaa kazi zinaendelea kama kawaida.


 

Fighter

Kwenye m3 au m2 umeenda mbali kuna wengine hata kusoma na kuandika ni issue unajua sasa hivi sekta ya ukandarasi imeingiliwa haimzuii yeyote kufanya hiyo biashara unajua tofauti na madvocate na ma-auditor kwamba ili upractic lazima uwe professional
 

Fighter,

Nashukuru kwa technical explanation, Msuya is a civil Engineer or chemical and process eng? maana viginevo asingekimbilia kuzungumzia crack bila kujua ratios za cement ya kwenye concrete na mortar ambayo naamini ndo sehemu yenye cracks, I have been at Udom one time cracks zilizo nyingi kama sio zote zipo kwenye joints za beams/columns na masonry
 

Ebu weka sawa haya maneno yako kama yana kosa mtiririko fulani na kupoteza maana, samahani sana.

Kwani concrete inatakiwa kuwa cured miaka mingapi? it is only 28days sasa usichanganye uwezo wa kifedha na stregth ya concrete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…