Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Cristiano Ronaldo amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodriguez. Wawili hao wamekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 9 sasa na tayari wana watoto wawili pamoja.
Georgina ameweka picha ikimuonesha akiwa amevalia pete ikiambata na caption isemayo “Yes I Do” akimaanisha amekubali kuolewa na nyota huyo wa Al Nassr ya Saudi Arabia.
Thamani ya pete ya uchumba ya Georgina, ambayo amevishwa na Cristiano Ronaldo, inakadiriwa kuwa kati ya Dola milioni 3 (Tsh. 7.5 bilioni) hadi 5 (Tsh. 12.6 bilioni).
Ronaldo na Georgina walianza uhusiano wao mwishoni mwa mwaka 2016 baada ya kukutana katika duka la Gucci, ambapo Georgina alikuwa akifanya kazi kama mhudumu wa mauzo
Wamejenga familia pamoja, wakilea watoto wao Cristiano Jr., mapacha Eva na Mateo, Alana Martina, na Bella.
Tunatarajia harusi mojawapo inayotazamwa sana michezoni, ikichanganya soka, mitindo, na hadhira ya kimataifa waliyoifuatilia hadithi yao kwa miaka mingi.
Georgina ameweka picha ikimuonesha akiwa amevalia pete ikiambata na caption isemayo “Yes I Do” akimaanisha amekubali kuolewa na nyota huyo wa Al Nassr ya Saudi Arabia.
Thamani ya pete ya uchumba ya Georgina, ambayo amevishwa na Cristiano Ronaldo, inakadiriwa kuwa kati ya Dola milioni 3 (Tsh. 7.5 bilioni) hadi 5 (Tsh. 12.6 bilioni).
Ronaldo na Georgina walianza uhusiano wao mwishoni mwa mwaka 2016 baada ya kukutana katika duka la Gucci, ambapo Georgina alikuwa akifanya kazi kama mhudumu wa mauzo
Wamejenga familia pamoja, wakilea watoto wao Cristiano Jr., mapacha Eva na Mateo, Alana Martina, na Bella.