Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,462
Hawa jamaa ni wapuuzi Sana hii benk sio ya kuweka hela yako aiseee.
Kuna mteja wangu juzi kanipigia simu Kuna balance nilikua namdai anataka nimtumie account namba anayoweza kufanya malipo...nikamtumia account Yangu ya Crdb kwa sababu nilikua busy jion ndo nilipata muda wa kuangalia salio nikakuta jamaa kaniwekea hela kweli!
Leo kwenye ratiba yangu Kuna mzgo nilitaka kulipia asubuhi na mapema ikabid niende kwa wakala kutoa hela. Kabla sijatoa hela nikamuomba anichekie salio. Hawa wajinga nimekuta wamekata 35,000 /= Aisee roho imeuma sana.
CRDB nimewahama rasmi Hawa Ni vibaka Kama una hela huko aisee jitahd kuangalia salio Hawa Jamaa nadhami mda wote wamekodolea Account zetu.
CRDB shwain
Kuna mteja wangu juzi kanipigia simu Kuna balance nilikua namdai anataka nimtumie account namba anayoweza kufanya malipo...nikamtumia account Yangu ya Crdb kwa sababu nilikua busy jion ndo nilipata muda wa kuangalia salio nikakuta jamaa kaniwekea hela kweli!
Leo kwenye ratiba yangu Kuna mzgo nilitaka kulipia asubuhi na mapema ikabid niende kwa wakala kutoa hela. Kabla sijatoa hela nikamuomba anichekie salio. Hawa wajinga nimekuta wamekata 35,000 /= Aisee roho imeuma sana.
CRDB nimewahama rasmi Hawa Ni vibaka Kama una hela huko aisee jitahd kuangalia salio Hawa Jamaa nadhami mda wote wamekodolea Account zetu.
CRDB shwain