CRDB mnazingua huduma za ATM na Sim banking

CRDB mnazingua huduma za ATM na Sim banking

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,787
Reaction score
8,118
ATM hazitoI pesa
SIM BANKING Offline
TELLERS NDANI YA BANK Hakuna mtandao.

Na hii ni toka saa 4 asubuhi. Huu ni upumbavu. Au ndio mshadukuliwa na Wakenya?

Instagram wanapost mambo ya shangwe, kubabake zao.
Screenshot_20250526_202517_Instagram.jpg

Screenshot_20250526_202546_Instagram.jpg
 
Wanaboresha mitambo ili pesa za Mama Abdul na Afande Mkuu zikihamishwa msivujishiwe.
 
Leo hata huduma za kutoa au kiweka kwa Mawakala zimeshindikana toka asubuhi!
 
Nilihisi kwangu ndio shida kumbe ni tatizo la kitaifa hili

Miamala niliyotegemea isome leo sijaiona na kila nikijaribu kuingia sim banking inakataa
 
Leo Sim Banking imesumbua sana
Sio Simbanking tu, ilikuwa hata ukiingia ndani ya bank wanasema hakuna mtandao.

Na cha ajabu hakuna kauli yeyote toka kwa CRDB, kwao maisha yanaendelea kama kawaida.
 
Aseeeeee nimekosa dili kwa ujinga huu wa leo
Ilipaswa jamaa wafidie wateja wao lakini wamechapa kimya kama hakuna kinachoendelea.

Hili li nchi ni kingese mno..
 
Sio Simbanking tu, ilikuwa hata ukiingia ndani ya bank wanasema hakuna mtandao.

Na cha ajabu hakuna kauli yeyote toka kwa CRDB, kwao maisha yanaendelea kama kawaida.
Wanajua mitanzania imekalia udaku wa diamond kambato nani sio haki zao za msingi.
 
Nilihisi kwangu ndio shida kumbe ni tatizo la kitaifa hili

Miamala niliyotegemea isome leo sijaiona na kila nikijaribu kuingia sim banking inakataa
Na imeendelea hivyo hivyo mpaka sasa hivi. Sio simbanking wala ATM kutoa pesa.
 
Walitakiwa kutoa taarifa kwa changamoto hii kuliko kutuacha tukitaabika tusijue shida ni nini
 
Back
Top Bottom