ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,233
- 2,161
Ndani ya siku hizi mbili naona Sim banking ya CRDB haifanyi kazi na tangu jana usiku ATM zenu hazifanyi miamala hapa Dodoma na hamjatupa taarifa yeyote.
Tupeni mwongozo
Tupeni mwongozo