CRDB Mmeniweza. Nahama benki

CRDB Mmeniweza. Nahama benki

Niko mbeya toka ijumaa ni usumbufu,atm zao zpo slow mara hakuna hela yani ujinga m2pu
 
wana huduma mbovu sana awa ni kama kampuni flan la simu ukikosea tu kununua umeme wa Luku umeliwa hela yako utadai mwaka hawakupi muwe waangalifu na matapeli

Yalinipata ndiyo maana Mara nyingi natumia mpesa
 
Nilifunga account zangu CRDB na NBC nikaenda FNB.

Hawa ni afadhali kuliko hizi benki uchwara.
 
Nilifunga account zangu CRDB na NBC nikaenda FNB.

Hawa ni afadhali kuliko hizi benki uchwara.

Mi naplan pia kufanya hivyo, yani crdb wanakera sana kila nikisafiri nikirudi nakuta acc iko dormant wakati wala hawana utaratibu mzuri nje ya nchi, sasa nataka nitoe hela zangu niwaachie acc yao
 
Saa hizi wanaforce tutumie simbank kama lazima huduma za ndani wamepandisha bei,atm hawaweki pesa!!tabu sana hii bank,ishajiona mungu mtu kama tigo na voda
 
Mm kwanza Crdb situmii atm kutoa hela naenda kwa dirisha pole mkuu hao ndo wezi wakileo
 
Mi naplan pia kufanya hivyo, yani crdb wanakera sana kila nikisafiri nikirudi nakuta acc iko dormant wakati wala hawana utaratibu mzuri nje ya nchi, sasa nataka nitoe hela zangu niwaachie acc yao


Taarifa zote kuhusu FNB zipo kwenye tovuti yao.
Unawapigia simu wanakupa vigezo vya kufungulia account.
 
Basi katika pita pita zangu nilikuwa mkoa flani weekend ya mwisho mwezi wa tano. Si unajua mambo ya furahi day nikaenda atm kutoa fedha nianze kuleta fujo mjini maana nilikuwa hata bati sina. Mimi ni mteja wa crdb so Nikaenda karibia ATM zao 3 mji mzima hazina network. kwa takribani maasaa 6. He... basi nikaona hebu nijaribu kutoa atm ya benki nyingine ya VISA. mdogo mdogo nikaenda NBC sasa baada ya kuweka kadi atm ikaandika 'Issuer not available' nikajua labda tatizo ni CRDB yenyewe ndo mana nikatulia nikarudi zangu home. hata dakika hazijapita niko njiani ikanijia messeji umetoa laki sita frm XXXX ATM. Heeee! mbona haikutoa hela? nikarudi ile atm na kweli ipo empty na sioni pesa yeyote nikamuuuliza mlinzi akasema inatokeaga ni mtandao piga hiyo namba kwenye msg (nilipiga ila haikupokelewa) basi kwasababu muda wa kazi ulikuwa ushapita nikaenda kesho yake kuripoti. Nikaandika details kiasi chenyewe, laki 6, Baada ya hapo ikawa ni kila siku kufuatilia ka miezi 6 napigwa tarehe tu . Mpaka meneja nikaenda kumwona wapiiiii. nimekuja kupewa jibu juzi kwamba Visa wameshindwa kunirudishia hizo hela kwasababu eti inaonekana nilizichukua? nikauliza imeonekana wapi??? mule kwenye atm hamna camera? maana kweli kwenye acount ilisema hela nimetoa wakati ile atm ilisema issuer not available.kibaya ilikuwa haina risiti!! nikawauliza hamuwezi angalia kwenye camera zao za security hao nbc au hata kuwaomba maana mimi ni mteja wenu na hio ni pesa yngu? wakasema hawawezi! nikabaki nimeduwaaa. laki sita mshahara wa mtu huo. lakini hamna shida. nimeamua kuhama tu benki na nawapa tahadhari na wenzangu kuhusu CRDB na VISA. me naona heri nihame benki tu. Mmezidi wizi.

Sio ATM tu, mm nilijiunga na E- banking kunavitu nilikuwa nalipia kwanjia ya PayPal jamaa nilipo tuma zile hela wameshikilia kiasi kilicho baki kwa mda sana, nikiuliza wanasema tutapiga simu mpaka baadae wakasema nadaiwa tena wakati mm najua kuna Salio Lina baki.
Nilikata tamaa kwakweli Bahati nzuri ilikuja kukaa vzr
 
mi ushaurI wanG kwa watejA wa hizI benki ni kwamba kama ww ni mteja wa either nmb au crdb ,hatakamA hyo benki haina huduma kwa kpnd hko ,cyo vzur kwenda kufanya miamala kwenye benk nyngne mbali na hyo yako kwan matokeo yake ndo kama hvyo,na ni ngumu kukuxaidia kwani wanajua ww cyo mteja wao kwahyo tuwe makn sis wenyew
 
Back
Top Bottom