Hivi inakuwa vipi Bank kubwa kama CRDB unawaandikia email lakini hawakujibu, they say it is the bank that listen but why not answering then???
Unbelievable;
Wafate live...!!
Mkuu CRDB ni baba au mama yako?
Tuma customer-hotline@crdbbank.com watumie account no yako,jina na tatizo lako watakusaidia.au piga simu kwa 0714 197700 watakusaidia.account yao ya email ilikuwa katik matengenezo wiki iliyopita inaweza kuwa sababu ya kuchelewa kukurejea.
Hata ile namba ya "emergency kwenye ATM huwa inaita bila kupokelewa. Wiki hii kuanzia jumatatu hadi alhamisi mchana ATM zao zilikuwa " Temporary closed" kwakweli nilichoka, na hela ni jasho langu.
Tuma customer-hotline@crdbbank.com watumie account no yako,jina na tatizo lako watakusaidia.au piga simu kwa 0714 197700 watakusaidia.account yao ya email ilikuwa katik matengenezo wiki iliyopita inaweza kuwa sababu ya kuchelewa kukurejea.
Sehemu nyingi Tanzania huwa hawajibu barua pepe za watu.
Mimi mwezi uliopita niliwaandikia watu wa uhamiaji lakini wala hawakusumbuka kunijibu.
Sasa sielewi hata kwa nini huwa wanaziweka anwani za barua pepe kwenye tovuti zao.
Ina maana huwa hakuna mtu anayesumbuka kuzifungua na kusoma au kuona kama kuna watu wamewasiliana nao kwa njia hiyo?
Ila kuna wakati niliwahi kuwaandikia barua pepe benki ya NBC na wakanijibu siku hiyo hiyo.
Nilishangaa sana.
Mnaomba kazi?
Pole sanaMummitto, ningewafata, nahasira nao sana, tatizo siko Bongo
Hivi inakuwa vipi Bank kubwa kama CRDB unawaandikia email lakini hawakujibu, they say it is the bank that listen but why not answering then???
Unbelievable;
Sehemu nyingi Tanzania huwa hawajibu barua pepe za watu.
Mimi mwezi uliopita niliwaandikia watu wa uhamiaji lakini wala hawakusumbuka kunijibu.
Sasa sielewi hata kwa nini huwa wanaziweka anwani za barua pepe kwenye tovuti zao.
Ina maana huwa hakuna mtu anayesumbuka kuzifungua na kusoma au kuona kama kuna watu wamewasiliana nao kwa njia hiyo?
Ila kuna wakati niliwahi kuwaandikia barua pepe benki ya NBC na wakanijibu siku hiyo hiyo.
Nilishangaa sana.
Wafate live...!!
Hayo matatizo ya kutojibu email hayapo tu CRDB ni sehemu/taasisi nyingi niliandika Email NSSF huu mwaka wa tatu hawajajibu na kila mwaka naulizia update lakini kimya.
✅Sijajua tatizo ni nini? kwa sasa Kuna smartphone,una configure email unazipata kwenye simu bila tatizo nashangaa hawafanyi hivyo.