CRDB hii sio haki kabisa

CRDB hii sio haki kabisa

Kuna haja pia benki zetu waondoe gharama za kutumia ATM ya benki nyingine hasa pale unapojaribu kutumia benki yako ukakumbana na tatizo. Huwezi kushindwa kunipa huduma halafu bado ukafaidika kwa mapato ya ziada Kwa kunilazimisha kutumia ATM ya benki wenzako. Incentives. Ni misaligned incentives. Wenzetu ATM zililetwa kupungiza gharama za uendeshaji wa benki, pamoja na kuboresha huduma kwa mteja. Sisi tumeifanya chanzo cha mapato.
Sasa wategemea servicing ya hizo ATMs itafanyika vipi?
Kuna AC, Walinzi, CIT, ICT etc hivyo vyote ni pesa i.e kila ATM walinzi huhitajika na gharama zao ni 500,000+ kwa kichwa
 
Sasa wategemea servicing ya hizo ATMs itafanyika vipi?
Kuna AC, Walinzi, CIT, ICT etc hivyo vyote ni pesa i.e kila ATM walinzi huhitajika na gharama zao ni 500,000+ kwa kichwa
Duniani wanawezaje? Wengine card zao hata unatumia nje ya nchi husika bila gharama
 
Umedanganywa na nani?
Nimeishi nje ya Tanzania kwa miaka 6 ya maisha ya utu uzima wangu, na kote nilikuwa na akaunti za benki, na kusafiri kwenda nchi nyingine. Nilipokuwepo mara ya mwisho nakumbuka nikijaribu kutoa hela ATM ikawa haina hela au kwa namna yoyote nikakosa huduma, wanatuma message hapo hapo kwamba naweza kutumia ATM ya benki yoyote hadi saa 6 usiku siku hiyo.
 
Nimeishi nje ya Tanzania kwa miaka 6 ya maisha ya utu uzima wangu, na kote nilikuwa na akaunti za benki, na kusafiri kwenda nchi nyingine. Nilipokuwepo mara ya mwisho nakumbuka nikijaribu kutoa hela ATM ikawa haina hela au kwa namna yoyote nikakosa huduma, wanatuma message hapo hapo kwamba naweza kutumia ATM ya benki yoyote hadi saa 6 usiku siku hiyo.
Hatukutaka jua umekaa wapi na muda gani ila elewa ni uongo huwezi tumia interbank nje ya nchi husika bila kukatwa pesa huo ni uongo.
 
Hatukutaka jua umekaa wapi na muda gani ila elewa ni uongo huwezi tumia interbank nje ya nchi husika bila kukatwa pesa huo ni uongo.
Sawa. Niwie radhi sikujua naongea na watu wengi na mlichotaka kujua. Nilichotaka mabenki yajue ni kuna haja waondoe gharama za kutumia ATM za benki wenzao pake ATM zao zinapofeli. Mengine si ya msingi.
 
Ungekuwa na mwana unayemfahamu bank husika walikoi hold ama the same bank another branch nearby (huwa wanafahamiana) ungerudishiwa faster tu (uwe na NIDA lakini), ilishanitokeaga hii nikaletewa longo longo nikanyoosha waya ikaisha hiyo. Vinginevyo fuata protocol though it's time consuming.
 
Back
Top Bottom