Crdb bujumbura

ngonani

JF-Expert Member
Aug 27, 2012
1,366
596
Nikiwa mjini Bujumbura niliiishiwa na fedha za kigeni na hivyo kuwa na shida ya kubadili takribani shillingi millioni 2 za Tanzania nilizokuwa nimebakiwa nazo mfukoni ili nipewe ama AMARUNDI au Dollar ili niweze kuendelea na maisha.Baada ya kuzungukia bureau kadhaa amabako walikataa fedha za Tanzania nilishauriwa niende kwenye benki ya CRDB kwani wana tawi kubwa katikati ya Bujumbura.I was shocked nilipoambiwa na ma teller ambao wote ni madada wa kirundi kuwa hawachukui fedha za Tanzania,nilisikia aibu na fedhea kubwa kuona benki ya Kitanzania ikikataa kupokea fedha za kitanzania,jamaa yangu aliyenisindikiza ambaye naye ni raia wa Burundi pia hakuamini alichokisikia,alifedheeka na kunishauri kuwa nitafute mtu anayeenda mpakani wa Tanzania na Burundi eneo laManyovu ili nikabadili kwa vijana wanaofanya hiyo baishara pale mpakani[black market]ndivyo nilivyofanya na jioni nikaletewa hela yangu japo rate ilikuwa mbovu sana.
Swali la kujiuliza je ni kwanini CRDB wanakataa kupokea fedha za Kitanzania,hata kama ni nje ya nchi?Pia customer service inaelekea ni mbovu kwani wale wahudumu wa Kirundi pale CRDB ni tofauti sana na wahudumu katika matawi ya Tanzania.
 
Hata mimi siamini aisee hiyo imekaa vibaya sana inabidi wahusika watoe ufafanuzi. Pole sana kwa mtihani uliokutana nao ugenini.
 
Hawana muda wa kutoa ufafanuzi. Kwa huduma mbovu nadhani wanaongoza. Mimi nilishafunga akaunti yangu siku nyingi kwao. Nadhani zile dili za serikali zinawafanya wajisahau.
 
Hawana muda wa kutoa ufafanuzi. Kwa huduma mbovu nadhani wanaongoza. Mimi nilishafunga akaunti yangu siku nyingi kwao. Nadhani zile dili za serikali zinawafanya wajisahau.

unamaanisha zili dili za zoka kumpati nyepesi mafungu ambayo huendacrdb kuchukua
 
yes it is a Tanzanian Bnak but operates in another country....they have to follow have o adhere to Burundi`s financial laws
Nikiwa mjini Bujumbura niliiishiwa na fedha za kigeni na hivyo kuwa na shida ya kubadili takribani shillingi millioni 2 za Tanzania nilizokuwa nimebakiwa nazo mfukoni ili nipewe ama AMARUNDI au Dollar ili niweze kuendelea na maisha.Baada ya kuzungukia bureau kadhaa amabako walikataa fedha za Tanzania nilishauriwa niende kwenye benki ya CRDB kwani wana tawi kubwa katikati ya Bujumbura.I was shocked nilipoambiwa na ma teller ambao wote ni madada wa kirundi kuwa hawachukui fedha za Tanzania,nilisikia aibu na fedhea kubwa kuona benki ya Kitanzania ikikataa kupokea fedha za kitanzania,jamaa yangu aliyenisindikiza ambaye naye ni raia wa Burundi pia hakuamini alichokisikia,alifedheeka na kunishauri kuwa nitafute mtu anayeenda mpakani wa Tanzania na Burundi eneo laManyovu ili nikabadili kwa vijana wanaofanya hiyo baishara pale mpakani[black market]ndivyo nilivyofanya na jioni nikaletewa hela yangu japo rate ilikuwa mbovu sana.
Swali la kujiuliza je ni kwanini CRDB wanakataa kupokea fedha za Kitanzania,hata kama ni nje ya nchi?Pia customer service inaelekea ni mbovu kwani wale wahudumu wa Kirundi pale CRDB ni tofauti sana na wahudumu katika matawi ya Tanzania.
 
hatujasema wasifate sheria za nchi waliomo kwamba waoperate kwa currence ya TZS, no hapana.... tunachoshangaa sisi hapa ni kwann hawapokei TZS kwa kuibadilisha, mleta mada hakutaka kufungua account ya TZS alitaka kubadili tu apate currence ya nchi husika
yes it is a Tanzanian Bnak but operates in another country....they have to follow have o adhere to Burundi`s financial laws
 
labda hawana mashine za kudetect fedha halali na bandia kwenye matawi yao ya bujumbura na wameambiwa kwasababu tz kuna pesa bandia nyingi, wasipokee hela hizo. si unajua wakati mwingine matapeli wa kibongo wanasababisha hata watu wasio matapeli kama wewe wapate shida kutokana na yale waliyoyafanya kwenye jamii.pole sana.
 
kwani wewe hujawahi enda hata benki za hapa wakakataa kupokea baaadhi ya hela za nchi fulani,kuwa Burundi haina maana kwamba wafanye yoote Mtanzania anayotaka,acheni Umwinyi
hatujasema wasifate sheria za nchi waliomo kwamba waoperate kwa currence ya TZS, no hapana.... tunachoshangaa sisi hapa ni kwann hawapokei TZS kwa kuibadilisha, mleta mada hakutaka kufungua account ya TZS alitaka kubadili tu apate currence ya nchi husika
 
Inashangaza sana pesa ni kitu ambacho ni exchangeable,aidha labda huu mfumo wetu wa kuwa na noti 2 tofauti zenye thamani sawa una kumfyuzi
 
Nikiwa mjini Bujumbura niliiishiwa na fedha za kigeni na hivyo kuwa na shida ya kubadili takribani shillingi millioni 2 za Tanzania nilizokuwa nimebakiwa nazo mfukoni ili nipewe ama AMARUNDI au Dollar ili niweze kuendelea na maisha.Baada ya kuzungukia bureau kadhaa amabako walikataa fedha za Tanzania nilishauriwa niende kwenye benki ya CRDB kwani wana tawi kubwa katikati ya Bujumbura.I was shocked nilipoambiwa na ma teller ambao wote ni madada wa kirundi kuwa hawachukui fedha za Tanzania,nilisikia aibu na fedhea kubwa kuona benki ya Kitanzania ikikataa kupokea fedha za kitanzania,jamaa yangu aliyenisindikiza ambaye naye ni raia wa Burundi pia hakuamini alichokisikia,alifedheeka na kunishauri kuwa nitafute mtu anayeenda mpakani wa Tanzania na Burundi eneo laManyovu ili nikabadili kwa vijana wanaofanya hiyo baishara pale mpakani[black market]ndivyo nilivyofanya na jioni nikaletewa hela yangu japo rate ilikuwa mbovu sana.
Swali la kujiuliza je ni kwanini CRDB wanakataa kupokea fedha za Kitanzania,hata kama ni nje ya nchi?Pia customer service inaelekea ni mbovu kwani wale wahudumu wa Kirundi pale CRDB ni tofauti sana na wahudumu katika matawi ya Tanzania.

Siku ukiamua kusafiri tena kumbuka yakwamba unanunua dolla yamarekani na hutapata usumbufu dunia nzima hii ndio hela inayokubalika bila maswali

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hii! imekaa vibaya aisee, inabidi wajieleze haraka iwezekanavyo!

manake nia ya kufungua Benki ni kuongeza biashara kati ya nchi mbili ss biashara inaongezekaje hapo!
 
nikiwa mjini bujumbura niliiishiwa na fedha za kigeni na hivyo kuwa na shida ya kubadili takribani shillingi millioni 2 za tanzania nilizokuwa nimebakiwa nazo mfukoni ili nipewe ama amarundi au dollar ili niweze kuendelea na maisha.baada ya kuzungukia bureau kadhaa amabako walikataa fedha za tanzania nilishauriwa niende kwenye benki ya crdb kwani wana tawi kubwa katikati ya bujumbura.i was shocked nilipoambiwa na ma teller ambao wote ni madada wa kirundi kuwa hawachukui fedha za tanzania,nilisikia aibu na fedhea kubwa kuona benki ya kitanzania ikikataa kupokea fedha za kitanzania,jamaa yangu aliyenisindikiza ambaye naye ni raia wa burundi pia hakuamini alichokisikia,alifedheeka na kunishauri kuwa nitafute mtu anayeenda mpakani wa tanzania na burundi eneo lamanyovu ili nikabadili kwa vijana wanaofanya hiyo baishara pale mpakani[black market]ndivyo nilivyofanya na jioni nikaletewa hela yangu japo rate ilikuwa mbovu sana.
Swali la kujiuliza je ni kwanini crdb wanakataa kupokea fedha za kitanzania,hata kama ni nje ya nchi?pia customer service inaelekea ni mbovu kwani wale wahudumu wa kirundi pale crdb ni tofauti sana na wahudumu katika matawi ya tanzania.

are u sure,matawi yote tanzania...??
 
Yani ni sawa na bank of Baroda wakatae Rupee ya India!
Au standard chatered wakatae USD.
 
Elewa kwamba benki zinafanya biashara. Wakinunua fedha za Tanzania watamwuzia nani? Vilevile, lazima wafuate masharti wanayowekewa na Benki Kuu ya nchi husika.

Miaka ya nyuma nimeshuhudia ubalozi wa Afrika ya Kusini Dar ukikataa malipo kwa njia ya Randi. Walisema lazima walipwe kwa shilingi za Tanzania au dola za Kimarekani. Sijui kama bado wana msimamo huo.

Hakuna kosa wala cha kushangaza kwa CRB nje ya Tanzania kukataa fedha za Tanzania.
 
Nikiwa mjini Bujumbura niliiishiwa na fedha za kigeni na hivyo kuwa na shida ya kubadili takribani shillingi millioni 2 za Tanzania nilizokuwa nimebakiwa nazo mfukoni ili nipewe ama AMARUNDI au Dollar ili niweze kuendelea na maisha.Baada ya kuzungukia bureau kadhaa amabako walikataa fedha za Tanzania nilishauriwa niende kwenye benki ya CRDB kwani wana tawi kubwa katikati ya Bujumbura.I was shocked nilipoambiwa na ma teller ambao wote ni madada wa kirundi kuwa hawachukui fedha za Tanzania,nilisikia aibu na fedhea kubwa kuona benki ya Kitanzania ikikataa kupokea fedha za kitanzania,jamaa yangu aliyenisindikiza ambaye naye ni raia wa Burundi pia hakuamini alichokisikia,alifedheeka na kunishauri kuwa nitafute mtu anayeenda mpakani wa Tanzania na Burundi eneo laManyovu ili nikabadili kwa vijana wanaofanya hiyo baishara pale mpakani[black market]ndivyo nilivyofanya na jioni nikaletewa hela yangu japo rate ilikuwa mbovu sana.
Swali la kujiuliza je ni kwanini CRDB wanakataa kupokea fedha za Kitanzania,hata kama ni nje ya nchi?Pia customer service inaelekea ni mbovu kwani wale wahudumu wa Kirundi pale CRDB ni tofauti sana na wahudumu katika matawi ya Tanzania.
Pole ndugu, ila muhimu ni kuwa na akaunti CRDB...utapewa VISA/MASTERCARD itakayokuwezesha kutoa pesa kupitia ATM...PESA ZA NCHI UNAYOKUWEPO...MFANO HIZO MIL MBILI UNGEZIWEKA UKIWA HUKU TZ NAKUTOA
AMARUNDI hapo Burundi.
 
Pole ndugu, ila muhimu ni kuwa na akaunti CRDB...utapewa VISA/MASTERCARD itakayokuwezesha kutoa pesa kupitia ATM...PESA ZA NCHI UNAYOKUWEPO...MFANO HIZO MIL MBILI UNGEZIWEKA UKIWA HUKU TZ NAKUTOA
AMARUNDI hapo Burundi.

Tatizo watu bado wanapenda umwinyi wa kutembea na cash.Kwa teknolojia ya cku hizi hauhitaji cash kabisa.
 
Back
Top Bottom