CRDB Bank meseji zenu zinakera

Mfilisiti

JF-Expert Member
Apr 29, 2020
342
1,551
Asalamaleko,

Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia.

Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila muda zinakera sana, zamani ulikua ukiona sms ya CRDB unajua ni muamala huo.

Kwa sasa mmekua kama ''tatu mzuka'', ''chota mihela'', ''ile hela tuma namba hii''. Tafadhali tunaombeni mzipunguze au ziishe kabisa kwani ninyi ni brand kubwa.

Naam,

Mfilisiti.

Screenshot_20230412-121808.png
Screenshot_20230412-121944.png
Screenshot_20230412-122006.png
 
Hujui kazi ya blocklist?
Akizi_block na meseji za miamala ataziona vipi!? Complain hapa, ni zile meseji zisizohusiana na miamala. Hata hivyo hizo ni meseji nyingi sana kumtumia mteja tena wala hazihusu miamala. Aisee!
 
Asalamaleko,

Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia.

Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila muda zinakera sana, zamani ulikua ukiona sms ya CRDB unajua ni muamala huo.

Kwa sasa mmekua kama ''tatu mzuka'', ''chota mihela'', ''ile hela tuma namba hii''. Tafadhali tunaombeni mzipunguze au ziishe kabisa kwani ninyi ni brand kubwa.

Naam,

Mfilisiti.

View attachment 2585289View attachment 2585297View attachment 2585298
Dahhhhh..... Sasa kwako zimezidi mno😂😛😅🤪
 
Asalamaleko,

Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia.

Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila muda zinakera sana, zamani ulikua ukiona sms ya CRDB unajua ni muamala huo.

Kwa sasa mmekua kama ''tatu mzuka'', ''chota mihela'', ''ile hela tuma namba hii''. Tafadhali tunaombeni mzipunguze au ziishe kabisa kwani ninyi ni brand kubwa.

Naam,

Mfilisiti.

View attachment 2585289View attachment 2585297View attachment 2585298
Wamegundua watanzania wanaangamia kwa kukusa maarifa,hivyo wanamisaidieni kupata maarifa na kuwapunguzia hasara,😂
 
Akizi_block na meseji za miamala ataziona vipi!? Complain hapa, ni zile meseji zisizohusiana na miamala. Hata hivyo hizo ni meseji nyingi sana kumtumia mteja tena wala hazihusu miamala. Aisee!
Umenena Vyema sana👍
 
Asalamaleko,

Baada ya kufurahia kumbukumbu ya kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai, Ni wazi dhahiri sasa Dunia inatambua kuwa tupo chungu cha 21,Inshallah wiki ijayo pia tutasheherekea na kula ubwabwa pia.

Sasa nirudi kwenye mada, CRDB bank hizi meseji mnazotutumia wateja wenu kila muda zinakera sana, zamani ulikua ukiona sms ya CRDB unajua ni muamala huo.

Kwa sasa mmekua kama ''tatu mzuka'', ''chota mihela'', ''ile hela tuma namba hii''. Tafadhali tunaombeni mzipunguze au ziishe kabisa kwani ninyi ni brand kubwa.

Naam,

Mfilisiti.

View attachment 2585289View attachment 2585297View attachment 2585298
Acha basi unachoma biashara za watu humu sikukuu hizi ndio muda wa kupiga pesa za wajinga..
may be sms 1 ni tsh. 25 sasa sms 5 kwa kila mteja kwa sikù mara wateja mil 1.

Tukituma kwa siku 3 mfurulizo zinakuwa millioni za kutosha kabisa..

Hizi siri za kambi wazee waliosoma cuba ndio wanajua.
 
Acha basi unachoma biashara za watu humu sikukuu hizi ndio muda wa kupiga pesa za wajinga..
may be sms 1 ni tsh. 25 sasa sms 5 kwa kila mteja kwa sikù mara wateja mil 1.

Tukituma kwa siku 3 mfurulizo zinakuwa millioni za kutosha kabisa..

Hizi siri za kambi wazee waliosoma cuba ndio wanajua.
Duuh hatari
 
Asubuhi nimeshtuka naangalia notification naona CRDB
Nikaamka na tabasamu nikaanza kupiga hesabu zangu za matumizi
Nakuja kufungua ni huzuni

CRDB sitaki meseji zenu
 
Back
Top Bottom