Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
Tangu jana mpaka muda huu ATM zote hazifanyi kazi hivi mnajuwa maana ya dharura kwa binadamu.
Nadhani network itakuwa imerudi ila sina uhakika kama hela zinatoka.
At least Sim banking imerudi.
Kadi yangu iliisha muda, nikaenda kuhuisha, nikaambiwa itakuwa tayari baada ya wiki 2. Zilipofika wiki 2, kwenda, nikaambiwa hazijawa tayari, wakaongeza 2 tena. Kadi nimepewa Alhamisi wiki iliyopita, nikaambiwa nisiitumie hadi nikitumiwa PIN, hadi sasa sijaiona hiyo PIN. Huwa natumia Sim banking, system nayo ipo down, najaribu toka saa 2 asbh hakuna kitu.
Pole,Nilijaribu airport mashine moja inafanya kazi hila hakuna mihamala, hivi hakuna namna naweza kuwashtaki mahakamani kwa hasara walionisababishia jana na leo?
Cc: Pasco
Pole,
Unaweza kumshitaki service provider yoyote wa huduma yoyote kwa kukusababishia hasara yoyote provided huyo service provider ndio responsible kwa hasara uliopata na irresponsibility hiyo itokane na negligence na pia uwe na uwezo wa kuithibitisha hiyo hasara.
ATM nyingi zinaendeshwa kwa data connectivity, kwa juzi na jana kulikuwa na tatizo la umeme hivyo CRDB are not responsible na ukosekanaji wa data kutokana na tatizo la umeme, hakuna element ya negligence!.
Ila usiwe na hasira sana na CRDB ni benki yetu, pitia hapa upunguze hasira
[h=3]CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!. -[/h][h=3]Jee Mabenki Wanajali?!. Shuhudia Jinsi Benki ya CRDB [/h][h=3]Benki ya CRDB Lumumba, Yaadhimisha Wiki ya Huduma Kwa Wateja.[/h]Pasco
Card yangu ya crdb imeexpire tokea januari mpaka sasa hivi sijapata. Yani kadi iki expire mpaka upeleke maombi ya kurenew.
Oh Please don't let us down, nchi yetu si unaijua lakini!, sisi tuu hapa bongo tunalipa kila kitu kwa visa card master, wewe uje kutegemea ATM?!.Kaka kwa kifupi tu bila kuingia kiundani hasara kamili ni kwamba leo nimeshindwa kuconfirm booking yangu ya flight sina cash, kuna hasara ya shilling laki mbili for new booking achilia mbali huko ninakokwenda. Hii nchi ni shida.
Oh Please don't let us down, nchi yetu si unaijua lakini!, sisi tuu hapa bongo tunalipa kila kitu kwa visa card master, wewe uje kutegemea ATM?!.
Pole
Pasco
CRDB wezi sana niliangalia salio tuu mwa siku mbili walinikata tsh.50000 sina ham nao hata punje