"CRAZY Things We Do For Love"...

Gaijin mambo.
Usimkatishe tamaa bana ..kajitahidi sana hapo eti ..

Nasikia ulikuwa Jela na wewe Pole.

Niliona usikae mwenyewe nije nikupe company jela ....

Simkatishi tamaa, wanawake wanapenda hiyo sometimes, as long as wakati mwengine ni man enough
 
Got you! But its like he played a risky game. Cause the girl could get another person while he was in prison
Yes..buddy that what they say life is all about taking risks...
 
Gaijin mambo.
Usimkatishe tamaa bana ..kajitahidi sana hapo eti ..

Nasikia ulikuwa Jela na wewe Pole.

Hajakatishwa tamaa mtu hapo! If I enjoy doing that for my love and u r coming with unfounded conclusions and allegations it doesnt affect me in anyway. At least we lawyers are trained to accept criticisms, insults, praise and all that!
 

Ok ok ok. . . So it has to be something unusual, may be strange, unexpected, a that will make people asking ' can a man do this'? Am I correct?
 
Niliona usikae mwenyewe nije nikupe company jela ....

Simkatishi tamaa, wanawake wanapenda hiyo sometimes, as long as wakati mwengine ni man enough

Dahhhh.
Hivi yule mdada aliekuwa kwenye corner anapeleka za Jet Lee alikuwa wewe ..? Au

Maana kuna kundi kubwa tuliondolewa hapa kwa mkupuo ..
 
Dahhhh.
Hivi yule mdada aliekuwa kwenye corner anapeleka za Jet Lee alikuwa wewe ..? Au

Maana kuna kundi kubwa tuliondolewa hapa kwa mkupuo ..

Kuna Mlugaluga mmoja kapewa umoderator basi taabu tupu
 
Hajakatishwa tamaa mtu hapo! If I enjoy doing that for my love and u r coming with unfounded conclusions and allegations it doesnt affect me in anyway. At least we lawyers are trained to accept criticisms, insults, praise and all that!

Waooooo
Come down tiger ..
Don't get angry for nothing aee.
Was just a joke ..

Anyway
Hongera kwa kuwa lawyer ....
 
hehehe halafu wee na Afro mlifanya nini kwanza? hata hamfananii ban

Si unajua ukimpiga ban mtu anaefanania hainogi! Manake kila mtu anaweza :redface:
 
Reactions: bht
Hajakatishwa tamaa mtu hapo! If I enjoy doing that for my love and u r coming with unfounded conclusions and allegations it doesnt affect me in anyway. At least we lawyers are trained to accept criticisms, insults, praise and all that!
Yes....Mkuu hapo sasa we are on the same page...
 
Inakuwa haijaisha ila ndio inakuwa mwanzo wa "CRAZY Things We Do For Love" maana unaamua kufungwa pamoja na mie huko Maximum Security Prison...

TF mi nimetoka huko jela sina hata muda mrefu ...
Dahhh we fungwa mi nauza kila kitu nahama mji na watoto Nachukua .."crazy things we do for love hunny..."
 
Dahhhh.
Sijui tufanyeje tu ..
Camera kila kona unapumua kwa mahesabu..

Hivi mi ntapataje u MOD.?

kwa hiyo mkipata u MOD mta 'act crazy?'...lol

hivi ban is it a big deal kweli Afro?
 
hehehe halafu wee na Afro mlifanya nini kwanza? hata hamfananii ban

Teh teh teh ..
Labda tunaongea sana ..
Ni njia nyingine ya kutuambia "shut up "
Sijui kama inafanya kazi tho..lol.
 
kwa hiyo mkipata u MOD mta 'act crazy?'...lol

hivi ban is it a big deal kweli Afro?

Kuna MODs ntawalambisha ban ..."crayz things we do for love " lolz

Nahhh is not a big deal aee.
Saa nyingine unahitaji ile quite moment ..
actually ban is good ... kila kitu kinachoonekana kibaya kina Uzuri ndani yake ...
 
TF mi nimetoka huko jela sina hata muda mrefu ...
Dahhh we fungwa mi nauza kila kitu nahama mji na watoto Nachukua .."crazy things we do for love hunny..."
:A S 13::A S 13::A S 13:.....:hand::hand:
 
Teh teh teh ..
Labda tunaongea sana ..
Ni njia nyingine ya kutuambia "shut up "
Sijui kama inafanya kazi tho..lol.

mna vidomo domo na vimbele front eeh...lol (kidding)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…