"CRAZY Things We Do For Love"...

Mapenzi yana run dunia! hii thread iko busy leo!
Mbona sikumbuki may be iam doing crazy staff every day to the extent of seeng them normal now lol. .
 
Dah!! Mambo mengine TF kuyasema noma aisee...lol
 
Love has us doing everything and anything and sometimes crazy things happens to be the things we do to get our flawless
 
Mapenz ni balaa' nimeingia hii thread imebd nicheke tu kusoma comments za watu. Ka nimekumbuka kipnd niko high school ilikua balaa sana. Ni vitu asaiv ukiniambia nifanye nakufa aiseee. Love bana!
 
come on,mwaga razi Asha,tupe mfano mmoja wa crazy act ukiwa ndani ya maloveeee!
mi nikimpenda mwanamke shurti nimtwange kama sio nyumba basi angalao ka harrier,hata kama mwenyewe sina nyumba,chezea Bishanga wewe!
 
come on,mwaga razi Asha,tupe mfano mmoja wa crazy act ukiwa ndani ya maloveeee!
mi nikimpenda mwanamke shurti nimtwange kama sio nyumba basi angalao ka harrier,hata kama mwenyewe sina nyumba,chezea Bishanga wewe!

Bishanga unazingua nilikukuta mahali unashtuka perfume ya laki mbili bei? muzee ya mapesa aaaah uliniangusha sana na kunipoteza hao wanawake wanaona kingine labda sauti yako tamuu. .
 
come on,mwaga razi Asha,tupe mfano mmoja wa crazy act ukiwa ndani ya maloveeee!
mi nikimpenda mwanamke shurti nimtwange kama sio nyumba basi angalao ka harrier,hata kama mwenyewe sina nyumba,chezea Bishanga wewe!


safi sana.
 
come on,mwaga razi Asha,tupe mfano mmoja wa crazy act ukiwa ndani ya maloveeee!
mi nikimpenda mwanamke shurti nimtwange kama sio nyumba basi angalao ka harrier,hata kama mwenyewe sina nyumba,chezea Bishanga wewe!

hahahaha.... B' heshima yote ulo nayo juu yangu itashuka at Par..... Maana hutanielewa kabisaaaaa! lol
 
Bishanga unazingua nilikukuta mahali unashtuka perfume ya laki mbili bei? muzee ya mapesa aaaah uliniangusha sana na kunipoteza hao wanawake wanaona kingine labda sauti yako tamuu. .
Twande,kwa maisha ya sasa hivi bongo laki mbili mchezo?
 
hahahaha.... B' heshima yote ulo nayo juu yangu itashuka at Par..... Maana hutanielewa kabisaaaaa! lol
sasa si uniPM chemba ili shemejio Aspirin na wadogo zako kina Smile wasione?
Btw Lizzy yuko wapi?
 
sasa si uniPM chemba ili shemejio Aspirin na wadogo zako kina Smile wasione?
Btw Lizzy yuko wapi?

hahahaha.... Kwa hiyo nikiharibu cv kwako uanaona sio mbaya? mimi I still want us to be friends... Hilo ndo ninalo preserve... BTW B' mbona leo waniita saana PM kuna nini?

Lizzy naona mayb kabanwa, jana/juzi alikuwepo hapa... Usha mmiss? Lucky her... Nyumba na gari in order!
 
PM? Nataka nisikie sauti yako through PM!
lizzy? I like her fiery temper,keeps my adrenalin pumping.
Btw am feeling lonely,najiuliza sijui nioe?
And if so,nimwoe nani?mama T?
 
PM? Nataka nisikie sauti yako through PM!
lizzy? I like her fiery temper,keeps my adrenalin pumping.
Btw am feeling lonely,najiuliza sikui nioe?


Sauti yangu wengi wakiisikia mara moja tu hawataki tena mawasiliano na mimi...
I can not do that to u B' U kno I like you a lot. Mmmh! sasa nimeelewa why umem Miss...

B' when you start feeling lonely an hour later huniambiaga you are drinking... hahahaa... BTW Are u serious?
If yes nishakuambia there will be a time you will be lonely ukanikatalia....
 
Asha,i am a survivor, a big survivor,upweke hauntishi.Leo nilikuwa nawambia wanangu...'you are grown ups,get out of my house.....nimekuleeeeni ,nimekusomesheni....nimekutafutieni kazi.....fine tuko wenyewe humu ndani so what?....hawajanijibu na ndo wanatoka kwenda wapi sijui maisha club? Bilicana?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…