Bwege Hatari
Member
- Oct 19, 2018
- 71
- 40
Mitihani migimu, bt sio tatizo, hapa kwenye Ada ndio tatizo mtu huna kazi unataka kujiendeleza unashindwa dahhh
Mmmh..!! Unapataje kazi ya maana na huna CPA..!? labda kama wenzetu wapo tofauti na Procurement bila CPSP hupati kazi ya maana kwa sasaTafuta kazi kwanza

Ada ya cpa should be the least of your worries, mziki wa kuipata cpa ni shida mno mana zile pepa kuziclear inabidi ujitoe haswaaa!!!
Easy formula kupata cpa ni kufanya masomo ya magumu b5, b1, b4 na b2 mwezi novemba wanapolegezaga pepa then piga mepesi b6, b3, c4 na c2 may wanapokaza pepa, then malizia magumu c3 na c1 November wanapolegeza, Kinyume na hapo kutoboa hizi pepa ni ngumu sana aisee.
b5 somo wanalo carry wengi topic ya buckflush costing usiisome inapoteza mda, kwenye topics za decision making soma tu cpv na pricing nyingine acha, budgeting yote itandike , variance analysis yote itandike na mwisho kabisa topic ya mwisho hangaika na transfer pricing tu.
SOMA KAMA KICHAA, SOLVE PAST PAPERS ZA CPA TZ, CPA IRELAND, ACCA NA CA YA INDIA, NAKUHAKIKISHIA UTAPATA CPA YAKO SALAMA SALMINI

Mkuu suala la November na May halitabiriki tena.Ada ya cpa should be the least of your worries, mziki wa kuipata cpa ni shida mno mana zile pepa kuziclear inabidi ujitoe haswaaa!!!
Easy formula kupata cpa ni kufanya masomo ya magumu b5, b1, b4 na b2 mwezi novemba wanapolegezaga pepa then piga mepesi b6, b3, c4 na c2 may wanapokaza pepa, then malizia magumu c3 na c1 November wanapolegeza, Kinyume na hapo kutoboa hizi pepa ni ngumu sana aisee.
b5 somo wanalo carry wengi topic ya buckflush costing usiisome inapoteza mda, kwenye topics za decision making soma tu cpv na pricing nyingine acha, budgeting yote itandike , variance analysis yote itandike na mwisho kabisa topic ya mwisho hangaika na transfer pricing tu.
SOMA KAMA KICHAA, SOLVE PAST PAPERS ZA CPA TZ, CPA IRELAND, ACCA NA CA YA INDIA, NAKUHAKIKISHIA UTAPATA CPA YAKO SALAMA SALMINI